A Kangaroo Court Moja, Kutoa Hukumu Kikangaroo, Kisha Kikao cha Rufaa, Kikiyabariki Maamuzi yale ya Kikangaroo. Je, nacho ni A Kangaroo?

Hahahahahaaaa kaka P kwaiyo ulibariki kabisa wao kuwa bungeniiu na kuvuliwa kwao uwanachama kwa namna moja au nyingine imekuumiza sanaa maana naona kangaroo imesheni kwenyeee huuuu uziii
 
Pole Sana team Mwendazake. Mliifanya Tanzania Sukuma gang na kutaka kabisa kuua upinzani. Nenda kawasaidie waende Mahakamani. Kwanza ni lini umesemea Chadema vizuri? Wewe kama uncle wako tu ambaye usiku wa Leo akiwa mavumbini ameona aliowateua wakitimkia mavumbini kinoma. Aliwatoa na wengine gerezani usiku ili kesho yake waapishwe afufuke aje awatetee. Imeandikwa ole wake smtegemeaye Mwanadamu (Mwendazake na Ndugai wako wapi sasa?). Mtu wenu alikuwa mwovu mpaka nikapumzika uanachama na sasa Rais wangu mpenda Amani amenirejesha tena. Sasa Bungeni wanafukuzwa. Shame to Ndugai na Mfu yule. CCM tuache kuendelea kujiweka madoa muhimu tujitahidi tufute yale madoa yote yaliyokichafua Sana Chama 2015 mpaka March 2021. Na Rais wetu anajitajidi mno kusafisha na nina Imani Makamu Mwenyekiti Kinana yuko vizuri na atairejesha hadhi iliyopotezwa. Kidumu Chama cha Mapinduzi.
 
Hapo suluhisho ni KATIBA MPYA, itakayoruhusu wagombea binafsi wasiotokana na chama cha siasa. Viongozi wa vyama vya siasa wanakuwa kama miungu watu.
Kuharibu ndoto na dhamira za vijana wenye mawazo chanya kwa taifa, kwa itikadi za kisiasa SI SAWA hata kidogo.
 
Mayala hizi Karma ni kwa upinzani tu.Mbona CCM imefanya madudu mengi sana sioni kama karma inawahusu nawaona wanadunda tu. wala haielekei kama wataachia madaraka karibuni.ebu tufafanulie CCM wa survive vipi na hizi Karma.
 
Kumbe Mayala, kuna wakati una-copy tu vitu bila kusoma au kuelewa maana yake?

Soma kipengere 5.4.4 (d), kinasema nini. Halafu ujiulize kama umeelewa au unahitaji kusaidiwa.
 
Hili suala la Covid 19 linaaibisha wakongwe wa JF, alianza britanicca leo kaongezeka Pascal Mayalla
Mayala, nina imani, yeye mwenyewe atakuwa anajihesabia ni mwelewa sana kwa ku-copy maandiko mengi ambayo yeye mwenyewe hasomi wala kuyaelewa.

Angekuwa ni mtu anayesoma kwa umakini, angegundua kuwa CHADEMA walitumia kifungu 5.4 4 (d), na hivyo hawajavunja katiba. Bush lawyers huwa wanawapoteza watu wengi sana huko mitaani.
 
Kipindi cha Mwendazake, nchi ilikuwa kwenye utawala wa shetani, uliolaanika.
 
Mnapompiga mawe paskali mnapaswa kutambua kuwa ni mwanahabari, so ana haki ya kuchambua, kuandika any article anayoweza kuchambua.

Tatizo la baadhi yetu ni kumuangalia mtu jinsi haiba yake na kusahau taranta yake.
Huu kama ndiyo uchambuzi wa wanahabari wetu, basi tukubali kuwa nchi hii kwenye tasnia ya habari tuna watu ambao ni very shallow minded.

Yeye mwenye anacopy kitu, halafu hasomi, na hata akisoma, anatoka kapa.
 
Maelezo ni mengi lakini cha ajabu huyu nguli mbobevu wa uandishi hajaweka reference ya vifungu vya katiba. Pamoja na kuitaja katiba, mleta hoja "amebwabwaja" tu bila kuleta ushahidi wa wazi wa vifungu vya katiba vilivyokiukwa.

Pole sana P.
Umekatazwa matusi mkuu
 
Eti na wewe Ni mwandishi wa habari. Shyster newsman!
Kwani maamuzi yanawatoa bungeni, si waendelee kuwa bungeni. We mpuuzi Nini. Issue Ni kuwa SI wanachama wa chadema, Tulia alitaka awachukue waendelee kukaa bungeni
Acha matusi, mwenyekiti kazuia hii tabia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…