A Kangaroo Court Moja, Kutoa Hukumu Kikangaroo, Kisha Kikao cha Rufaa, Kikiyabariki Maamuzi yale ya Kikangaroo. Je, nacho ni A Kangaroo?

Maswali ya msingi Kama haya huwezi pata majawabu bali watakwepa!

Mdee anakili kuna uhuni umefanyika, ZILE saini ni za mnyika na Mbowe alibariki Kwa siri ila sasa yamewawia magumu wakageuka.

Usimwamini mwanasiasa


Britanicca
 
Maswali ya msingi Kama haya huwezi pata majawabu bali watakwepa!

Mdee anakili kuna uhuni umefanyika, ZILE saini ni za mnyika na Mbowe alibariki Kwa siri ila sasa yamewawia magumu wakageuka.

Usimwamini mwanasiasa


Britanicca
Wewe si ulisema utaachana na JF.mbona umeibukia huku tena.Sasa hapo una tofauti gani na akina Mdee au chadema yenyewe maana na wewe unayumba vibaya sana.karma inakuhusu.
 
Maswali ya msingi Kama haya huwezi pata majawabu bali watakwepa!

Mdee anakili kuna uhuni umefanyika, ZILE saini ni za mnyika na Mbowe alibariki Kwa siri ila sasa yamewawia magumu wakageuka.

Usimwamini mwanasiasa


Britanicca
Maamuzi yameshafanyika
NENDENI MKAFUNGUE KESI MAHAKAMANI muwaambie mumiumizwa sana na matokeo haya
 
Maswali ya msingi Kama haya huwezi pata majawabu bali watakwepa!

Mdee anakili kuna uhuni umefanyika, ZILE saini ni za mnyika na Mbowe alibariki Kwa siri ila sasa yamewawia magumu wakageuka.

Usimwamini mwanasiasa


Britanicca
Maswali ya kiouuzi sana. Anauliza maswali wakati majibu yapo kwenye nukuu za katiba ya CHADEMA, aluzoziweka mwenyewe.

Tumwombe Mungu atujalie hekima na akili mpaka uzeeni. Inaonekana Mayala anazeeka mwili na akili kwa pamoja.
 
Always ninasoma kwa kutulia makala zako zote.

Kwenye hii nimesoma kwa kutuliana nimeona nitulie kabisaa nisiongeze wala kupunguza.

Umeitendea haki taaluma.

Ahsante kwa elimu
 
Paskali huna jipya bro, uamuzi umeshafikiwa. Kama vipi anzisha chama uwachukue au wahamishie ccm ama kwenye chama kingine.
Paskali ametaja tukio; akalichambua na kufikia hitimisho kufuatana na uchambuzi wake. Kumwambia hana jipya kunadhihirisha kakuzidi kete mpaka umekosa hoja ya kumkosoa; unaishia kusema hana jipya. Chambua aliyosema utuonyeshe vipi hoja zake si sahihi. Hapo ndipo tutakusikiliza; na hivyo ndivyo inavyohitajika katika jamvi hili la 'Great Thinkers'. La sivyo, unashusha hadhi ya JF kwa kukosoa kwa kauli ya sentensi moja tu kwamba 'huna jipya', bila kuhoji aliyosema. Ni sawa kabisa kwa Paskali kutokuwa na jipya kama hivyo ndivyo anavyoamini. Abakie tu na hayo ya siku zote mpaka watu kama wewe mtakapompa hoja za kumuaminisha kwamba fikira zake zina hitilafu na inabidi aamue vinginevyo.
 

Tunajibu hoja sio nongwa.
 
Kama unakiri, "chama kina katiba yake, Katiba hiyo imeweka taratibu za nidhamu kwa wanachama wake, mwanachama unapokiuka unafukuzwa uanachama"

Sasa hayo malalamiko yako ya Kangaroo Court yanakuja vipi kama hizo ndio taratibu walizojiwekea kama chama?

Unazidi kuukwepa ukweli kwenye andiko lako unaposema; " chama cha siasa inabidi kifanye mambo yake kwa uhuru, ila ni lazima kifuate Katiba, sheria, taratibu, na kanuni...." hapa ulivyo mjanja kuna maneno hujayaweka makusudi.

Hujatuambia taratibu hizo, sheria, kanuni, na katiba chama cha siasa kinachotakiwa kuzifuata ni zipi?

Jibu ni kwamba, taratibu, kanuni, na sheria hizo ni zile chama husika cha siasa kilichojiwekea chenyewe, na kama chama kilijiwekea hizo kanuni, iweje wewe mtu wa nje uziite batili? unataka wajiwekee kanuni na taratibu za kukufurahisha wewe?

Kilichopo hizo kanuni, taratibu, na sheria lazima ziheshimiwe na yeyote, ndio maana hata kina Mdee kama wakikimbilia mahakamani, bado mahakama itatoa maamuzi ya kuziheshimu hizo taratibu na sheria za Chadema ambazo wewe huzitaki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…