A New Day for U.S.A -Tanzania Relations : H.E. Samia Suluhu Hassan, President of Republic of Tanzania

Cc: Umoja Party & co;
 
Mwendazake alikuwa anaziogopa moment kama hizi..
Diplomasia ni muhimu..
... ni kama ndoto ila ndio hivyo huwezi kuamini ndani ya muda mfupi taifa liliingia gizani haswa! Completely tulikuwa kwenye dunia ya peke yetu kwa sababu ya mtu mmoja!
 
...

Wanafiki wameumbuka sana, na baada ya ziara hii kuwa yenye mafanikio makubwa wanafiki na wazandiki wamejitokeza hadharani pasina hata aibu.
Tunamuonbea Rais wetu asonge mbele kazi irndeleeeee
Mkuu watu hawapingi hizo safari bali ufujaji na kuhalalisha upigaji, kwani wewe unaishi nchi gani?.
 
Rais Samia Suluhu Hassan amesema sasa serikali yake ipo katika mkakati wa kuiweka Tanzania mahala pake pa ushawishi kimataifa, kama aliokuwa nao baba wa taifa Mwl. Julius Nyerere.

FROM AP ARCHIVE 23 JULY 2015

SYND 19 1 76 NYERERE PRESS CONFERENCE


(18 Jan 1976) Tanzanian President Julius Nyerere at a press conference in Delhi where he says why his country supports the Popular Movement for the Liberation of Angola.
Source : AP Archive
 

From the AP archive
21 July 2015



TANZANIA: US PRESIDENT BILL CLINTON ARRIVES 1


(28 Aug 2000) Natural Sound XFA President Clinton has arrived in Tanzania to help Nelson Mandela's faltering efforts to end seven years of ethnic warfare in Burundi that has killed more than 200,000 people. After two days of trying to bolster a 15-month-old democracy in Nigeria, Africa's most populous nation, Clinton flew to Tanzania, where Mandela and other mediators have tried for weeks to craft a Burundi cease-fire. The former South African president had hoped Clinton could join 12 African leaders in witnessing a peace agreement between Burundi's Tutsi-controlled government and Hutu rebels. President Clinton and his daughter Chelsea were greeted by Tanzanian President Benjamin Mkapa and tribal dancers before both leaders immediately went into private talks. Clinton arrived to find talks over the situation in Burundi in apparent disarray. Burundi's president had demanded last-minute changes to a power-sharing agreement that was supposed to be signed on Monday. Although the nature of the changes is not clear, reports suggest that negotiators are now aiming for a scaled-down agreement, rather than none at all. Clinton later met with former South African President Nelson Mandela in hopes that they could come up with a way to salvage the situation. The administration, noting that some rebel groups have not come to the negotiating table, are declining to connect Clinton's visit to a signing ceremony. Instead his arrival is seen as a show of support for Mandela.
 
Asante kwa kutufahamisha.Wananchi tunamuombea afya na uzima Rais wetu,kipenzi cha watanzania.
 
13 February 2016

EAC Observers lead by Team is led by Ali Hassan Mwinyi, late Nyerere successor


Ex - President Ali Hassan Mwinyi talks on importance of Free and fair elections , good governance ..
 
Mh Rais anakutana na wastafu tu?🤣🤣
 
A word
 
Ipo live Mh. Rais Samia Hassan anazidi kuelezea masuala mbalimbali ikiwemo demokrasia, uhuru wa Bunge, sekta ya gesi , umeme wa mabwawa ya maji, nishati mbadala wa kuzalisha umeme, upungufu wa mbolea toka Ukraine na Russia ....
Kuna watoto watanuna🤣
 
😍
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…