Cc: Umoja Party & co;Halafu kuna baadhi ya wanafiki wachache eti wanabeza na kudhihaki ziara ya Mhe. Rais nchini Marekani.!!!
Nadhani hawakutegemea Mama kama angeimarisha uhusiano wetu na Marekani kwa kiasi hiki!!
Wanafiki wameumbuka sana, na baada ya ziara hii kuwa yenye mafanikio makubwa wanafiki na wazandiki wamejitokeza hadharani pasina hata aibu.
Tunamuonbea Rais wetu asonge mbele kazi irndeleeeee
... ni kama ndoto ila ndio hivyo huwezi kuamini ndani ya muda mfupi taifa liliingia gizani haswa! Completely tulikuwa kwenye dunia ya peke yetu kwa sababu ya mtu mmoja!Mwendazake alikuwa anaziogopa moment kama hizi..
Diplomasia ni muhimu..
Mkuu watu hawapingi hizo safari bali ufujaji na kuhalalisha upigaji, kwani wewe unaishi nchi gani?....
Wanafiki wameumbuka sana, na baada ya ziara hii kuwa yenye mafanikio makubwa wanafiki na wazandiki wamejitokeza hadharani pasina hata aibu.
Tunamuonbea Rais wetu asonge mbele kazi irndeleeeee
Haya dada endelea kukuna naziMama yako aliniambia, kamuulize
Kwa nini Biden hataki kuonana na mama Samia au ni kwa sababu wanaujua mchezo mzima ulivyochezwa?Kazi inaendelea... Kazi iendelee...
Mungu Ibariki Tanzania.
Wabariki viongozi wake akiwemo Mama.
P
Mwendazake alikuwa anaziogopa moment kama hizi..
Diplomasia ni muhimu..
Biden anaonana na watu wa maana mkuu.sio hivyo vigagula kutoka sijui wapi huko.Kwa nini Biden hataki kuonana na mama Samia au ni kwa sababu wanaujua mchezo mzima ulivyochezwa?
Asante kwa kutufahamisha.Wananchi tunamuombea afya na uzima Rais wetu,kipenzi cha watanzania.LIVE / MUBASHARA :
25 April 2022
District of Columbia
A New Day for U.S.-Tanzania Relations: H.E. Samia Suluhu Hassan, President of Republic of Tanzania
the Wilson Center Africa Program for A Conversation with H.E. Samia Suluhu Hassan, President of the Republic of Tanzania.
President Samia Suluhu Hassan will share her vision for Tanzania and U.S.-Tanzania relations, and sit in conversation with Ambassador Mark Green, President and CEO of the Wilson Center and former U.S. Ambassador to Tanzania from 2007-2009, to discuss key challenges and opportunities for the future of U.S.-Tanzania relations in various spheres.
Source : WoodrowWilsonCenter
Ipo live:
Mh. Rais Samia Hassan anazidi kuelezea masuala mbalimbali ikiwemo demokrasia, uhuru wa Bunge, sekta ya gesi , umeme wa mabwawa ya maji, nishati mbadala wa kuzalisha umeme, upungufu wa mbolea toka Ukraine na Russia ....
Mbali ya changamoto alizozijibu ktk maswali ya mtayarishaji wa kipindi pia, Mh. Rais agusia fursa nyingi zinazokuja baada ya nchi 'kufunguka' kwa dunia toka achukue hatamu za uongozi wa nchi ...
Miradi inayofadhiliwa na Marekani iliyosimamishwa mwaka 2016, sasa 2022 imefunguliwa baada ya mazungumzo ya uwazi baina yake Mh. Rais Samia Hassan na makamu wa rais wa Marekani Mh. Kamala D. Harris hivyo kufuatiwa na ukurasa mpya wa mahusiano ya kufahamiana kufunguliwa baina ya Tanzania na Marekani.
Mh. Rais afafanua sera ya nchi kuwapatia watoto wa kike wanafunzi waliopachikwa mimba kuruhusiwa kurudi shuleni kuendelea na masomo.
Mh. Rais Samia Suluhu Hassan agusia umoja wa kitaifa unaojengwa chini ya uongozi wake ikiwemo kuachiwa toka mahabusu viongozi wa vyama vya upinzani, kufunguliwa magazeti yaliyofungiwa, bunge kuwa 'live' ili wananchi waweze kufuatilia kinachoendelea bungeni kupitia wawakilishi wao na serikali kujibu kero za wananchi . Kutoa elimu kwa taasisi zinazohusika na utoaji haki kupitia mfumo wa haki jinai (criminal justice system) kama Polisi, Ofisi za Mwendesha Mashtaka, Magereza na Mahakama
Uchumi wa buluu, biashara na mahusiano mapya baina ya Tanzania na dunia ....
Huyo Ngosha ana damu ya Kunguni.Bado nafasi zipo rafiki, kaza mapambio
Mh Rais anakutana na wastafu tu?🤣🤣LIVE / MUBASHARA :
25 April 2022
District of Columbia
A New Day for U.S.-Tanzania Relations: H.E. Samia Suluhu Hassan, President of Republic of Tanzania
the Wilson Center Africa Program for A Conversation with H.E. Samia Suluhu Hassan, President of the Republic of Tanzania.
President Samia Suluhu Hassan will share her vision for Tanzania and U.S.-Tanzania relations, and sit in conversation with Ambassador Mark Green, President and CEO of the Wilson Center and former U.S. Ambassador to Tanzania from 2007-2009, to discuss key challenges and opportunities for the future of U.S.-Tanzania relations in various spheres.
Source : WoodrowWilsonCenter
Ipo live:
Mh. Rais Samia Hassan anazidi kuelezea masuala mbalimbali ikiwemo demokrasia, uhuru wa Bunge, sekta ya gesi , umeme wa mabwawa ya maji, nishati mbadala wa kuzalisha umeme, upungufu wa mbolea toka Ukraine na Russia ....
Mbali ya changamoto alizozijibu ktk maswali ya mtayarishaji wa kipindi pia, Mh. Rais agusia fursa nyingi zinazokuja baada ya nchi 'kufunguka' kwa dunia toka achukue hatamu za uongozi wa nchi ...
Miradi inayofadhiliwa na Marekani iliyosimamishwa mwaka 2016, sasa 2022 imefunguliwa baada ya mazungumzo ya uwazi baina yake Mh. Rais Samia Hassan na makamu wa rais wa Marekani Mh. Kamala D. Harris hivyo kufuatiwa na ukurasa mpya wa mahusiano ya kufahamiana kufunguliwa baina ya Tanzania na Marekani.
Mh. Rais afafanua sera ya nchi kuwapatia watoto wa kike wanafunzi waliopachikwa mimba kuruhusiwa kurudi shuleni kuendelea na masomo.
Mh. Rais Samia Suluhu Hassan agusia umoja wa kitaifa unaojengwa chini ya uongozi wake ikiwemo kuachiwa toka mahabusu viongozi wa vyama vya upinzani, kufunguliwa magazeti yaliyofungiwa, bunge kuwa 'live' ili wananchi waweze kufuatilia kinachoendelea bungeni kupitia wawakilishi wao na serikali kujibu kero za wananchi . Kutoa elimu kwa taasisi zinazohusika na utoaji haki kupitia mfumo wa haki jinai (criminal justice system) kama Polisi, Ofisi za Mwendesha Mashtaka, Magereza na Mahakama
Uchumi wa buluu, biashara na mahusiano mapya baina ya Tanzania na dunia ....
A word... huyu Rais kipenzi cha watanzania H.E. Samia Suluhu, Mwenyezi Mungu wa Mbinguni ambariki sana! She has a vision to our country. Ndani ya mwaka mmoja kurudisha mahusiano ya kimataifa yaliyokuwa yameparaganyika vibaya sio kazi ndogo. Sasa tuijenge Tanzania Moja badala ya kubaguana kivyama na sifa nyingine za kipumbavu zilizoanza kushamiri.
Kuna watoto watanuna🤣Ipo live Mh. Rais Samia Hassan anazidi kuelezea masuala mbalimbali ikiwemo demokrasia, uhuru wa Bunge, sekta ya gesi , umeme wa mabwawa ya maji, nishati mbadala wa kuzalisha umeme, upungufu wa mbolea toka Ukraine na Russia ....
Hawa waandishe wa Nyuyoko wachochezi sana. Wangekuwa kule Mbeya wangekiona cha mtema kuni.Rais wa kwanza mwanamama wa Tanzania airudisha nchi yake duniani / Tanzania’s First Female President Wants to Bring Her Nation in From the Cold
Swali kuhusu maoni ya gazeti la New York Times kuhusu Covid, elimu, demokrasi, haki za binadamu, Bunge mubashara / live n.k laibuka leo katika kituo cha Woodrow Wilson Center
😍LIVE / MUBASHARA :
25 April 2022
District of Columbia
A New Day for U.S.-Tanzania Relations: H.E. Samia Suluhu Hassan, President of Republic of Tanzania
the Wilson Center Africa Program for A Conversation with H.E. Samia Suluhu Hassan, President of the Republic of Tanzania.
President Samia Suluhu Hassan will share her vision for Tanzania and U.S.-Tanzania relations, and sit in conversation with Ambassador Mark Green, President and CEO of the Wilson Center and former U.S. Ambassador to Tanzania from 2007-2009, to discuss key challenges and opportunities for the future of U.S.-Tanzania relations in various spheres.
Source : WoodrowWilsonCenter
Ipo live:
Mh. Rais Samia Hassan anazidi kuelezea masuala mbalimbali ikiwemo demokrasia, uhuru wa Bunge, sekta ya gesi , umeme wa mabwawa ya maji, nishati mbadala wa kuzalisha umeme, upungufu wa mbolea toka Ukraine na Russia ....
Mbali ya changamoto alizozijibu ktk maswali ya mtayarishaji wa kipindi pia, Mh. Rais agusia fursa nyingi zinazokuja baada ya nchi 'kufunguka' kwa dunia toka achukue hatamu za uongozi wa nchi ...
Miradi inayofadhiliwa na Marekani iliyosimamishwa mwaka 2016, sasa 2022 imefunguliwa baada ya mazungumzo ya uwazi baina yake Mh. Rais Samia Hassan na makamu wa rais wa Marekani Mh. Kamala D. Harris hivyo kufuatiwa na ukurasa mpya wa mahusiano ya kufahamiana kufunguliwa baina ya Tanzania na Marekani.
Mh. Rais afafanua sera ya nchi kuwapatia watoto wa kike wanafunzi waliopachikwa mimba kuruhusiwa kurudi shuleni kuendelea na masomo.
Mh. Rais Samia Suluhu Hassan agusia umoja wa kitaifa unaojengwa chini ya uongozi wake ikiwemo kuachiwa toka mahabusu viongozi wa vyama vya upinzani, kufunguliwa magazeti yaliyofungiwa, bunge kuwa 'live' ili wananchi waweze kufuatilia kinachoendelea bungeni kupitia wawakilishi wao na serikali kujibu kero za wananchi . Kutoa elimu kwa taasisi zinazohusika na utoaji haki kupitia mfumo wa haki jinai (criminal justice system) kama Polisi, Ofisi za Mwendesha Mashtaka, Magereza na Mahakama
Uchumi wa buluu, biashara na mahusiano mapya baina ya Tanzania na dunia ....