A New Day for U.S.A -Tanzania Relations : H.E. Samia Suluhu Hassan, President of Republic of Tanzania

Ukurusa mpya wa mahusiano ya pande mbili zinazoheshimiana na kuaminiana kufuatia kukaribiana kwa uwazi baina ya viongozi wa juu wawili yaani Mh. Rais Samia Hassan na Makamu wa Rais wa Marekani Mh. Kamala D. Harris
😍
 
😍
 
Aione Nyani Ngabu

Tena akome kukiponda Kiingereza na Mama Samia
 
Mkuu watu hawapingi hizo safari bali ufujaji na kuhalalisha upigaji, kwani wewe unaishi nchi gani?.
"Ukitaka kula na wewe ukubali kuliwa japo kidogo" JK.
sasa kwa taarifa yako sisi tumekula na tutaendelea kula pakubwa sana,

utalii utafunguka mara dufu na hivyo tutarudisha pesa zote na faida ya kutosha.

Uwekezaji kutoka marekani utaongezeka mara dufu na hivyo kuinua uchumi wetu lkn pia kuongeza ajira.

Masula ya Elimu yataimarishwa, Afya n.k n.k

Ziara ya Rais na ujumbe wake huko Marekani inafaida nyingi sana na endelevu kuliko unavyo fikiria.
 
Kazi inaendelea... Kazi iendelee...
Mungu Ibariki Tanzania.
Wabariki viongozi wake akiwemo Mama.
P
Pascal, hivi unadhani bado ni muafaka kuendelea kuitumia hiyo kauli ya "kazi iendelee"?
Kwa maoni yangu nadhani umefika wakati wa kuachana nayo na kuanzisha slogan mpya. 'Kazi iendelee' ilipoanza ilimaanisha kuendeleza kazi iliyoanzishwa na kamanda JPM. Sasa kwa kuwa JPM siyo mpendwa wa 'watu' tena, na hao walioanzisha 'kazi iendelee' ndio wanamnanga kila siku, mi nadhani umefika wakati sasa wa kuachana nayo na kuanzisha slogan mpya.
Au wadau mnaonaje?
 
Paskali huwa hatabiriki, kuna wakati anaeleweka kuna wakati haeleweki kama ilivyo hali ya hewa
 
Kazi inaendelea... Kazi iendelee...
Mungu Ibariki Tanzania.
Wabariki viongozi wake akiwemo Mama.
P
Kazi itaendeleaje kama Rais wa nchi anaishi magharibi ya mbali? Inawezekana wenzetu wanajiuliza Rais anawezaje kuishi nje ya nchi na nchi ipo ipo tu bila Rais? Kwa hali hii nchi haitaendelea na ndiyo sababu haiendelei, ninajua unajua kuwa wakati tunakabidhiwa nchi Tanganyika na Indonezya zilikuwa zinalingana kimaendeleo, lakini leo sisi tuko kwenye kunyang'anyana kura tu, na kutabiri ushindi ujao utakuwa wa kishindo! Hayo ndiyo maendeleo myajuayo, amka.
Kuna wakati Tanzania ilianza kuamka kimaendeleo, Pugu Road ilichangamka kwa viwanda vyenye tija siyo vya marumaru, Moro, Mwanza, Tanga, Arusha, Musoma, Tabora, Mbeya na Mang'ula kuliinuka kwa viwanda vyenye tija si vyakuunganisha bodaboda toka China.
Hatuwezi kuendelea kiuchumi kwa Rais kuishi nje ya nchi akifanya mazungumzo na machalii.
 
Tatizo ni huko Bungeni, wananchi hawakuwachagua hao waliopo huko. Wote walioko huko walipachikwa na dikteta marehemu Magufuli. Tunatokaje hapo? Hakuna mtu wa kuwafuatilia hao maharamia waliopo bungeni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…