Alishageukaga Mkaka. 🤣🤣Hivi yukwapi huyu mdada?
Hee usiniambie [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Alishageukaga Mkaka. [emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23] ana tupeperushia njiwa wetu[emoji1][emoji1][emoji1] we mi nimekushindwa
Ndio mwaya ana jina kama la Kikenya sijui vile.🤔🤔 Limenitoka saa hii.Hee usiniambie [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nilipitwa na huo mkasaNdio mwaya ana jina kama la Kikenya sijui vile.[emoji848][emoji848] Limenitoka saa hii.
No bdo
Taratibu mkuu usijekutana na nyangumi...Mkuu wa mabaharia [emoji125][emoji125][emoji125] Safari ya PM hii
Check mnavyom-call,kienyeji kabisa. Nae anakuja kiboya kabisa na miguu yakeAmewaaibisha kivipi sasa.. Acha wivu mkuu .. Kwani akijitangaza kuna shida gani? Unampangia cha kupost kwa ume-mnunulia vocha...
Acha wivu mkuu... Jackline embu post picha nyingine jamaa afe kabisa
Ongeza picha ujui sisi ndiyo Matajiri wa jf
Upo vizuri dada
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] AiseeeeeeeeMkuu mara hii umesha sahau kitengo changu
Jf ina vituko sana siku hizi jamani
Pia ukitoa namba unaungwa kwenye group la WhatsApp la members wa jf, huko kuna mambo mazuri usijepitwa bibie
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]usikute wewe ni Diwani Athumani.
Acha kuteseka dingi... mdada kaweka picha kiroho safi wewe usie mjua kinakuumaWewe umetokea wapi wewe unatuabisha watu wa mbeya?. Nani amekuambia humu mnaletwa picha? Hii sio sehemu ya kujitangaza. Hayo mambo nenda huko Fb. Unajirengasha na picha ili upate nini?. Humu watu wanajadiri vitu vya msingi. Unasanifiwa ulete picha na wewe unakuja mbio na lipicha lako. Hujui tu hizi dakika chache ulizotumia hapa Jf kuweka weka mapicha picha yako inaweza kuwa ndio majuto yako ya mbele. Hapo tu umejitangaza ni mwanamke wa aina gani? Wameshakusoma tayari
Pitia na hapa,soma. Kama una akili utajua anamaanisha nini? Na jinsi namma utakavyokumbukwa namna uliivyoingiaBaada ya kuona hayo mapicha picha nimejikuta namkumbuka Husna the boss Lady. Teh teh teh.
All in all karibu mdada.
Mwee, mbako indutuNdaga nkamu gwangu
Umefurahi asubuhi yote hii? Siku itakuwa njema kwako I guess [emoji1][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Fursa kwenu bahariasIsijekwa tego kwa mabaharia