Bella Ciao
JF-Expert Member
- May 28, 2019
- 1,804
- 4,461
Wala sijakudanganya angalia watu wameanza kuwa na wasiwasi naweweHpo umenidanganya jomon
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wala sijakudanganya angalia watu wameanza kuwa na wasiwasi naweweHpo umenidanganya jomon
HahahaNimekuchek pm ila imefungwa.
Nani kakufundisha kufunga PM ungali mgeni jf
[emoji23][emoji23]Aweke ile aliyogeuka nyuma kidogoWaishi wapi?
Weka namba ya simu ili member wenzio wakujulie hali..
Pia uweke picha ukiwa umesimama
Vipi mtu akihitaji kukuoa?No bdo
Uu mzuri Jacqueline naomba uni pm.. nikija kubeba maparachichi songwe na mchele kyela nitakustuaDuuuh,,naish Mbeya wilaya ya KyelaView attachment 1209475
🙌🙌😀😀 Hata ww mkuuUu mzuri Jacqueline naomba uni pm.. nikija kubeba maparachichi songwe na mchele kyela nitakustua
Yeah ni vizuri akasajiliwa ipasavyo. Ukarimu kwa wageni ndo jadi yetuJf sio kama facebook.. Huku wote ni viongozi wa serekalini kuanzia madiwani mpaka mawaziri..
Unamuona huyo Meeyah ni mkuu wa wilaya ya kisarawe
Mimi ni katibu kata wa Chinja chini..
Tunasema uweke namba zako kwaajili ya sababu za kiusalama na pia kukamilisha usajili wako
Waishi wapi?
Weka namba ya simu ili member wenzio wakujulie hali..
Pia uweke picha ukiwa umesimama
A man never lose his instincts no matter who the hell he is..🙌🙌😀😀 Hata ww mkuu
Yeah for sure.. muacheni mrembo wetu ajimwageHivi ndivyo hata jamii ya huku nje ( outside world) offline, (mtaani) jinsi inavyotumia ujinga wa mtu yeyote ama kwamba kwa kujinufaisha wenyewe au kuzifurahisha nafsi zao
ULIMWENGU WA SAMAKI MKUBWA ANAMLA MDOGO
wapi asprinHellow wana Jamii Forum mie ni mgen tuu naomben ushirikiano wenu na mapokez mazur,,nawapendaView attachment 1209465
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji872][emoji108][emoji123][emoji109]
Umefanana na Tausi wangu enzi hizo miaka ya 2015Duuuh,,naish Mbeya wilaya ya KyelaView attachment 1209475