Uchaguzi 2020 A night with Tundu Lissu and Sheikh Ponda at Karatu

Baba Jessica huyu huyu juzi kanitumia sms ya kuomba kura wakati namba yangu anayo tangu tukitoa kopi ya ule utafiti wa korosho na hajawahi kunisalimia. Nilivyotaka kumjibu kaniblock.
😂😂😂😂😂💔
 
A memorable moment, that when he once vied for presidency he met his fellow activist Sheikh Ponda. Fortunately for him, failure is looming.
 
Hata Mie Sioni kosa la Ponda, Mwamakula na Bagonza, ndio democracy kila MTU acha apende apendacho, hawaitaki CCM je ni dhambi? Mbona wapo viongozi WA dini wanaipigia Debe CCm? waache utaahira wao.
 
Leo Membe naye na vyombo vya habari ! Vituko na vioja havitaisha mpaka kiama
 
Nimeona masheikh ubwabwa wakiongozwa na yule Sheikh comedian sijui Kipozeo eti wamepingana na Sheikh al akbar Ponda. Njaa mbaya sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…