Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
'air cleaner' ni safi kweli jamani? Hapa anaomba au analazimisha?
Nasikitika, sina muda kama huoUkipata muda naomba ujisaidie kujijibu
Baba Jessica huyu huyu juzi kanitumia sms ya kuomba kura wakati namba yangu anayo tangu tukitoa kopi ya ule utafiti wa korosho na hajawahi kunisalimia. Nilivyotaka kumjibu kaniblock.Mpe hii siri baba Jessica pia.
😂😂😂😂😂💔Baba Jessica huyu huyu juzi kanitumia sms ya kuomba kura wakati namba yangu anayo tangu tukitoa kopi ya ule utafiti wa korosho na hajawahi kunisalimia. Nilivyotaka kumjibu kaniblock.
Natural hatred....People do differ so the thinking...!!!!A memorable moment, that when he once vied for presidency he met his fellow activist Sheikh Ponda. Fortunately for him, failure is looming.
Hata Mie Sioni kosa la Ponda, Mwamakula na Bagonza, ndio democracy kila MTU acha apende apendacho, hawaitaki CCM je ni dhambi? Mbona wapo viongozi WA dini wanaipigia Debe CCm? waache utaahira wao.WaTz ni wanafki sana !!. Majuzi sheikh Alhadi Salum wa Dsm alipopanda jukwaani kuiombea Ccm na Maghufuli miaka mitano watu hawakuhoji !!. Mwezi uliopita viongozi wa dini walikusanywa Dodoma kwa nia sawa na hiyo. Watu hawakuhoji !!.
Leo kwa sababu nyumba ya kambo imepata shavu askofu Bagonza, sheikh Ponda na askofu Mwamakula . Ñyoka wote wametoka pangoni !!. Huu ni unafiki wa hali ya juu
mapenz yako yanakusuma hasa kuobgea ongeaHakika lissu is prophet Alive and Ponda is God messenger Alive both are the victors
How comes?
Kwa nafasi yake nadhani ni sahihiLeo Membe naye na vyombo vya habari ! Vituko na vioja havitaisha mpaka kiama
[emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimeona masheikh ubwabwa wakiongozwa na yule Sheikh comedian sijui Kipozeo eti wamepingana na Sheikh al akbar Ponda. Njaa mbaya sana
I'm glad you know it, the acknowledge others' opinions.