A - Town Gangsters walioitikisa Arusha kwa matukio ya uhalifu

Sijui kwanini Arusha karibu kila mtu anapiga ganja,
Tena kuna mitaa wanawasha hadharani na wala hawana habari. Hapa ni kama imehalalishwa vile.
Mchicha wa kutoka Nairobi ndo unaambiwa zina stimu mbaya 😋😋.
Shada mbona tulipua hadharani na akirogi tangu enzi izo mamalai chuga kusizi ndete kawaida sana
 
Median Mwale.
 
Hapo wameeleza ana watoto wawili
 
Wewe ni mwizi wa kazi yangu. Usingetoa jina la mwandishi isingekuwa tabu. JamiiForums naomba niripoti kwamba huyu amecopy kazi yangu na kupaste hapa. Nitaleta nakala ya kazi halisi alipoitoa.

NB nimekubaini wewe ni member kwenye channel yangu ya telegram ulipotoa kazi hii. Najua jinsi ya kudeal na wewe kule.
 
Wewe ni mwizi wa kazi yangu. Usingetoa jina la mwandishi isingekuwa tabu. JamiiForums naomba niripoti kwamba huyu amecopy kazi yangu na kupaste hapa. Nitaleta nakala ya kazi halisi alipoitoa.

NB nimekubaini wewe ni member kwenye channel yangu ya telegram ulipotoa kazi hii. Najua jinsi ya kudeal na wewe kule.
 
Hivi kwanin wabongo tuna tabia ya kuwapa sifa wavunja sheria...

Yaani jamaa anatiririka kama vile kuuwa mtu ni ujasiri

Hebu fikiria angeuwa mama au baba yako...ungetiririka hivyo....
Then unamalizia eti arusha ya sasa imepoa...
 
Enzi za gewe dar alikuwepo jambaz mmja anaitwa "dar break"alisumbua sana
Wakat wake ulipofika wazee walimuondoaa
Enzi hizo TZR ndio zinaanza

Ova
Enzi hizo alikua tishio aliuawawa mitaa ya kariakoo kma sikosei
 
Mkuu mbona hivyo tena,story yako nlisoma ila kuna vingi hujaambiwa ukweli uliza humu kuna utapewa story isiyo na mapungufu...kuna mtu kma nyari alikua mjanja wa mererani arusha mjini kaingia 98 kma sikosei,yeye alikua anaibia wahindi aliowauzia mawe siku wanasafiri na mzigo anawapora njiani...chusa hajawahi kua mwizi na hela kapata 2010 kwa kuzamia mawe ya bomu tanzaniteone akishirikiana na walinzi,kila tajiri mnunuzi alikua na team yake ya walinzi,apollo,teamleader wa tanzaniteone kupiga bomu...so kila timu ilikua inapanga siku yake ya kuzama
 
Japo kua nilikua simkubali katika mambo mengine, ila kwenye suala la kudeal na hawa viumbe Magu ndio kiongozi pekee hapa nchini alieweza kuwashughulikia vizuri na kuwapunguza kasi ndani ya kipindi kifupi.

Hata mzee Mwinyi aliisafisha Moshi ya miaka ya themanini kwa kutoa greenlight kwa pgo kuwala shaba majambazi.

Ila kuuwa majambazi sio suluhisho la kudumu la ujambazi kwani inakuwa kama kukata kichwa cha yule Hydra wa hadithini.
 
Tulia dada huko daslam mmelegea sana huko daslam alijitokeza mtu anaitwa scorpion akamtoboa mtu macho hadharani lakin hakuna msaada wowote alioupata huyo mtobolewa macho sasa ndo ajitokeze mtu na shortgun mtamfanya nini?
Scorpion hakuwa muhalifu wala si yy aliemtoboa macho jamaa ,kesi ilikuwa ya mchongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…