A - Town Gangsters walioitikisa Arusha kwa matukio ya uhalifu

A - Town Gangsters walioitikisa Arusha kwa matukio ya uhalifu

Ali na Ali wa block T alikuwa tapeli aliyejifichia kwenye uganga, kawapiga Sana zambia, south africa, alikuwa anakutupia ugonjwa kisha anawatuma vijana wake wanafanya wawezavyo kuunga urafiki na ndugu au mtu wa karibu na mngonjwa Ili wakushawishi kuna mganga sehemu wakupeleke upate tiba. Ukienda anayatoa matakataka yake unakuwa mzima unampa pesa nyingi tu.
Staili zile za tapeli manyau nyau mganga brazamen aliye wapiga pesa wengi anafukia kitu kisha wanakuja kuagua kisha wanafukua chini kitu unatishika eti umelogwa unatoa pesa wanaishi mjini.
 
Ali na Ali wa block T alikuwa tapeli aliyejifichia kwenye uganga, kawapiga Sana zambia, south africa, alikuwa anakutupia ugonjwa kisha anawatuma vijana wake wanafanya wawezavyo kuunga urafiki na ndugu au mtu wa karibu na mngonjwa Ili wakushawishi kuna mganga sehemu wakupeleke upate tiba. Ukienda anayatoa matakataka yake unakuwa mzima unampa pesa nyingi tu.
Staili zile za tapeli manyau nyau mganga brazamen aliye wapiga pesa wengi anafukia kitu kisha wanakuja kuagua kisha wanafukua chini kitu unatishika eti umelogwa unatoa pesa wanaishi mjini.
Aise,huyo sikumpata maana mbeya nlikaa miaka 2 nkasepa ila nlishi blok T

Ova
 
Aise kumbe hii Chuga etuu ilikuwa ni kwere sana baba etu ..sisi machali wa juzi kati apo tu amna kitu tunaelewa asee ..inafaa kitabu kiandikwe kuelezea historia nzima ya chuga aise na ifundishwe mashuleni kabisa ile machali hawa wapya wa 2005 kiendelea waelewe ni wapi mji wao umetoka na ni wapi ulipo nna unapoelekea areef..!!?
 
Aise kumbe hii Chuga etuu ilikuwa ni kwere sana baba etu ..sisi machali wa juzi kati apo tu amna kitu tunaelewa asee ..inafaa kitabu kiandikwe kuelezea historia nzima ya chuga aise na ifundishwe mashuleni kabisa ile machali hawa wapya wa 2005 kiendelea waelewe ni wapi mji wao umetoka na ni wapi ulipo nna unapoelekea areef..!!?
Ili mlianzishe upya sio madai yenu Aluta Continua
 
Damu za watu, machozi ya wajane na yatima majambazi huwa yanakufa vifo vya laana.
Enzi za gewe dar alikuwepo jambaz mmja anaitwa "dar break"alisumbua sana
Wakat wake ulipofika wazee walimuondoaa
Enzi hizo TZR ndio zinaanza

Ova
 
Kuna george (kindei)huyu siku moja aliitwa na baba yake mdogo pale crocodile bar,baba yake akawa anajaribu kumuonya kuhusu vitendo vyake vya kihalifu,Kindei akamsikiliza mzee wake halafu mwisho akamwambia,poa mzee nimekusikia ila ndio umeshachelewa hivyo,mimi siyo tena yule wa zamani"

Baada ya kumwambia hivyo akainua koti lake refu akimuonyesha mzee "jembe" short gun imetulia hapo,mzee akatoka kama mkuki, mwingine aliitwa spider,huyu alikuwa malaika kimwonekano,ila ukikutana na majambazi wenzake wanamheshimu na kumwogopa kwa ukatili wake huyu aliuwawa kikatili kabisa

Alishindiliwa mkuki shingoni ukanasa kwenye tairi ya lori,mwingine alishindiliwa tumboni,akapitishwa katikati ya tairi mbili kubwa na kupigwa kiberiti,alibaki mguu mmoja tu na raba yake ya new balance,Kindei alitulazimu kuchangishana hela mtaa mzima ili kununua bunduki ambayo kweli ilikuja kufanikiwa kumuua,majizi yalikuwa mengi sana arusha enzi hizo,inshaallah sasa hivi tunaishi kwa amani.
Kindei wa Esso huyo..
 
Back
Top Bottom