Kalunya
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 13,322
- 18,609
Ila wakipata nafasi ndio wezi wakubwa mafisadi wa kodi zetu maana wizi upo damuniHayo ni matukio ya juzi Sana between 1998 mpaka 2000++ kumbuka kampuni ya kwanza ya Simu za mikononi Tz ilikuwa Tritel ambayo ilianza kama sikose 90++ au early 20++. Ila katika Hawa waliotajwa wote kwa Sasa wanajificha kwenye mwamvuli wa Chama tawala wakiwa walinzi wa chama