A - Town Gangsters walioitikisa Arusha kwa matukio ya uhalifu

Mzee yuko UN kitambo kitengo cha ulinzi,upolice kawaachia wenye roho mbaya
 
Story za ngozi ilikua ni ujinga wa maskini kusingizia wenye nacho,sunda ni mchimbaji miaka yake yote ndio mwenye nguvu kwenye uchimbaji wa tanzanite
 
Do you think msukuma aliyefariki angefanya hivyo kwa Arusha mngefanyaje?

Usiongelee watu waliokwenye mamlaka kufanya yasiyofaa kwa kulindwa na dola ukadhani ni rahisi kama kudhibiti vibaka wenye silaha.

Nilitaka kukushauri uvae helmet muda wote kwa sababu unaihitaji, ila acha nikaushe tu. Carry on, mkuu.
 

Kuhusu uchunaji ngozi, hizo ni hadithi tu za kuogopesha wasiojua kama hizi zinazosambaa siku hizi kuhusu figo.

Lyimo ni taxidermist na ile nyumba hapo Momela inayovutia hizo hadithi ilikuwa taxidermy workshop yake.
Wasiojua wakiona muda mwingi imefungwa na kusikia harufu ya ngozi za wanyama ndio wakambambikia kuwa ni mchuna ngozi za binadamu.
 
Kuna tukio moja la Musa Chesa nilikua jirani kabisa, leo ndo najua kumbe alifanya yeye. Duh, huyu jamaa alindwe kama real kaacha.
 
Kuna tukio moja la Musa Chesa nilikua jirani kabisa, leo ndo najua kumbe alifanya yeye. Duh, huyu jamaa alindwe kama real kaacha.
Aliacha na anajutia yote aliyofanya kawa muinjilisti siku hizi.
Ila tukio la ubungo mataa aliwachezesha police kama movie vile kalisimulia kwenye simulizi zake.
 
Jombi, Tunyande, Masoli, Mtega a.k.a Kisangani, na vijana wao hatari sana Charles Tende, BOOB G, Mophat walitisha sana. ukimiliki VX unalazimika kuwalipa kodi ya ulinzi ili wasilichukue. Siitamani ile Meya ya hao jamaa.
Bob G nilishamfichiaga Zigo la sukari na Power milimani uporoto huko.moto uliwala sana hawa wajuba
 
Kuna jambazi moja lilikuwa Morogoro ussa garini mwake lipo na attention ya bastola linafungua kioo nusu likitaka kuongea na wewe, lilipelekewa killing squard kufungua tu kioo wakaliwahisha kuzimu.
Njia rafiki ya kuwaondoa hawa wapumbavu kwenye Jamii ni kuwatumia killing squard ndo wanachofanya Rwanda haiwezekani wao ndio wajifanye wanaijua pesa kuliko wengine.
Hata sauzi afrika wanatumia sana njia hii na matokeo ni mazuri.
Bullets ndio njia sahihi ya kuwapunguza watu wasiotakiwa kwenye Jamii.
 
Umbwa lotuno amewahi kufanya nini kwenye maisha yake? Na yeye ni gangster kwa lipi?
 
Mtu Ili akamilike ana sehemu tatu ambazo ni mwili,roho na nafsi.Jambazi, wauaji,mchawi, kahaba, kibaka, madikteta ni watu waliochukuliwa nafsi zao na utumika kama agent wa kuzimu, pindi nafsi zao zinaporudishwa ujutia Sana uovu wao. Mtu akichukuliwa nafsi yake utu na ufahamu wako uchukuliwa pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…