Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee yuko UN kitambo kitengo cha ulinzi,upolice kawaachia wenye roho mbayaFred Jebby hakuchomwa kisu Bali aliumwa sana mguu hadi umauti ukamfika.
Huyu mwamba hakuwa mwizi wala Jambazi , Na isitoshe Baba yake Fred mzee Jebby alikiwa polisi (trafik) maarufu sana hapa arusha ila tatizo LA Fred Jebby ni ubabe na ukorofi uliopitiliza yaani alikuwa haogopi MTU .
Baba yake tu ndio alikuwa anammdu Fred maana mzee wake ubabe anauweza
Story za ngozi ilikua ni ujinga wa maskini kusingizia wenye nacho,sunda ni mchimbaji miaka yake yote ndio mwenye nguvu kwenye uchimbaji wa tanzaniteKwa asiyejua anaweza akafikiri hivi visa ni maigizo ila ukweli maisha ya Arusha miaka ya nyuma yalikosa kabisa usalama, japo hadi leo hizo element hazijakwisha.
Kuna jamaa aliitwa Sunda, alikuwa maarufu sana kwenye madini miaka hiyo vip yeye hakuwa na visa? Maana sijaona alikotajwa.
Kuna jambazi aliuawa kwa risasi pale Sabato Maji ya chai aliitwa Kibonge, kuna mwenye habari zake?
Vipi pia kuhusu biashara ya uchunaji ngozi? Kuna jumba moja liko momella pale lilijulikana kama kwa Lyimo, huyo Lyimo ilisemekana alikuwa anadili na hizo biashara za kupoteza watu na kuchuna ngozi, yaani enzi hizo ilikuwa hakuna kutembea usiku kwa miguu peke yako, kuna mzungu pia pale Someli ilisemekana alikuwa anadili na hizo bizness, alikuwa na mashamba ya kahawa eti vibarua walikuwa wanapotea tu.
Bila kumsahau yule Mrefu aloimbwa na Mch. Faustine Munishi.
Mwenye nondo hizi azilete tafadhali.
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Do you think msukuma aliyefariki angefanya hivyo kwa Arusha mngefanyaje?
Usiongelee watu waliokwenye mamlaka kufanya yasiyofaa kwa kulindwa na dola ukadhani ni rahisi kama kudhibiti vibaka wenye silaha.
Ndo uyu mawala aliyekua na Firm yake inaitwa " Mawala advocates" pale burka?Mawala alikua na watoto wawili na rundo la madem,fununu aliuawa shauri ya kugombea vitalu vya uwindaji,alikua anamiliki vitalu vya kutosha na wazungu flani
Kwa asiyejua anaweza akafikiri hivi visa ni maigizo ila ukweli maisha ya Arusha miaka ya nyuma yalikosa kabisa usalama, japo hadi leo hizo element hazijakwisha.
Kuna jamaa aliitwa Sunda, alikuwa maarufu sana kwenye madini miaka hiyo vip yeye hakuwa na visa? Maana sijaona alikotajwa.
Kuna jambazi aliuawa kwa risasi pale Sabato Maji ya chai aliitwa Kibonge, kuna mwenye habari zake?
Vipi pia kuhusu biashara ya uchunaji ngozi? Kuna jumba moja liko momella pale lilijulikana kama kwa Lyimo, huyo Lyimo ilisemekana alikuwa anadili na hizo biashara za kupoteza watu na kuchuna ngozi, yaani enzi hizo ilikuwa hakuna kutembea usiku kwa miguu peke yako, kuna mzungu pia pale Someli ilisemekana alikuwa anadili na hizo bizness, alikuwa na mashamba ya kahawa eti vibarua walikuwa wanapotea tu.
Bila kumsahau yule Mrefu aloimbwa na Mch. Faustine Munishi.
Mwenye nondo hizi azilete tafadhali.
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Kuna tukio moja la Musa Chesa nilikua jirani kabisa, leo ndo najua kumbe alifanya yeye. Duh, huyu jamaa alindwe kama real kaacha.Mussa Chesa mzaliwa wa kazuramimba alipiga tukio la ubungo mtaa wakitoka kuiba bank. Tukio la risasi ubungo mataa mwalikumbuka miaka ya nyuma kalielezea kwenye simulizi zake,huyu alikuwa shida tabora Kigoma burundi kahama aliua Mzungu hirizi kama zote risasi haiingii. Leo ameokoka na ameapa vita na shetani ni muinjilisti siku hizi anamuhubiri Kristo. Ukimmsearch unampata kaeleza matukio yake yote ya ujambazi aliyofanya na idadi ya watu aliowaua kwa risasi na uchawi, Ili awe gwiji kwenye wizi ilibinidi ajifunze uchawi kwenye wizi na uchawi kafanya makubwa Sana hata akawa mkuu wa kitengo cha misukule TANZANIA. Amewasumbua Sana police Kigoma nk alipokata shauri kuachana na yote na kuamua kumtumikia Mungu hata police awakuamini na kesi zake zote walimfutia. Akawa msaada wa police kuwakamata majambazi wengine. Ndie aliyekuwa gwiji wa wizi kwenye treni ya abiria akimiliki vikosi vinamuibia na kuleta hesabu.
.
Pia ameshiriki kuwauzia misukule wachungaji feki alipokuwa mkuu wa kitengo cha misukule nchini.
Alitaka kupigana studio na diamond baada ya diamond kupora biti yake studio.Visa vyake vyoote amevichezea movie na simulizi youtube.Kwenye redio cloud fm,RFA na channel tv mbalimbali.
Wa pili anaitwa Emma nae alikuwa shida yaani primitives hasa ameua watu wengi sana kwa bunduki ziwa victoria wakiiba samaki na engine,amewakata mikono wavuvi wengi sana kwa staili ya zile nguo za carwash salama yako ujitupe majini,kaua watu wengi sana kwa uchawi na uganga pia
Huyu ni mwanzilishi wa kundi hatari dar la komandoo Yosso na ndie alishiriki tukio la kiwanda cha sukari TPC Moshi wakaua mhasibu nk pia kaeleza uhalifu alioufanya Dar , Arusha na Moshi yeye ndio walikuwa ni waanzilishi wa kundi la komandoo Yosso wamefanya uhalifu Mkubwa Sana dar ikiwemo kuua, kulemaza watu wengi sana, walitaka kumdindishia Mrema akiwa Waziri wa mambo ya ndani walikula Sana bullets kundi likasambaratika akakimbilia Moshi akafanya Sana uhalifu alienda kuokokea jela leo ni mtumishi wa Mungu.
Hawa ndio wachungaji wa ukweli maana wanamjua shetani ndani nje kwa maana wamemtumikia pasipo faida wameamua kumtumia Muumba wao. Ila Mussa Chesa alikuwa shida amewatesa sana police na raia kila mtu aamini wokovu umemuingia.
alikuwa ni teja hatari mitaa ya fire, jangwani,wamepora Sana tena mchana.Wamefanya Sana vurugu kwenye mabaa,nk.
Simulizi zao zinasisimua na kuonyesha uKuu wa Mungu mtu anavyoweza badilika.
Wanajutia Sana matendo yao hasa watu waliowaua .
Aliacha na anajutia yote aliyofanya kawa muinjilisti siku hizi.Kuna tukio moja la Musa Chesa nilikua jirani kabisa, leo ndo najua kumbe alifanya yeye. Duh, huyu jamaa alindwe kama real kaacha.
Fursa man,kuna cheda ya kufariki kiumbe kuwatetea hawa jamaaHuyu wakili wa majambazi sina taarifa zake.
Alisoma Ili awatete majambazi
Bob G nilishamfichiaga Zigo la sukari na Power milimani uporoto huko.moto uliwala sana hawa wajubaJombi, Tunyande, Masoli, Mtega a.k.a Kisangani, na vijana wao hatari sana Charles Tende, BOOB G, Mophat walitisha sana. ukimiliki VX unalazimika kuwalipa kodi ya ulinzi ili wasilichukue. Siitamani ile Meya ya hao jamaa.
Alikuwepo mpaka juzi kati tu hapo.mwanga kwelikweiNahisi alifyekwa na juliana wanapenda Sana papuchi
Siku hizi anaswali sana Moro townNgunguli alikuwa na kikosi Kazi enzi hizo chuga umafia tele kwa kifua chake.
Earsto Msuya na yeye alikuwa dhulumati muuaji?
Kusali kutamsaidia kufuta machozi ya wajane na yatima aliowatengeneza?Siku hizi anaswali sana Moro town
Umbwa lotuno amewahi kufanya nini kwenye maisha yake? Na yeye ni gangster kwa lipi?Mimi nawafahamu hawa.....
Babu nyauu wa Ilboru
Chichkoo wa Kaloleni
Tobii wa watengwa
Umbwa lotuno
Marehemu Nyokaa wa Silent In
Mbadii wa Sanawari
Machokodo wa Namanga-Arusha
Maikoo wa Mtaa wa mavi pale mianzini
Chonjo wa Kijenge juu
Marehemu Kitunguu wa Ngulelo
Hussein Tumbo wa Kaloleni
Na Madingii wengine....! [emoji23][emoji23]
Hizo story za Jombi peleka huko Mbeya kijijini kwenu. Arusha we have our own legends. Usitake kulazimishandio nakwambia hao wotw hapo juu kwa jombi walikua watoto chekechea,ndio nikakwambia badae alikua hata anawapora hao uliowataja na mwisho wakaacha kuiba akaingia front ndio tukio lililommaliza.