A - Town Gangsters walioitikisa Arusha kwa matukio ya uhalifu

Tulia dada huko daslam mmelegea sana huko daslam alijitokeza mtu anaitwa scorpion akamtoboa mtu macho hadharani lakin hakuna msaada wowote alioupata huyo mtobolewa macho sasa ndo ajitokeze mtu na shortgun mtamfanya nini?
 
Kuna vitu umeongea vya uwongo sana chusa hajawahi kua kibaka au nyamera,mwale hajawahi kuua mtu wa karibu wa nyari zaidi ya kua mwanasheria wake alipopata kesi...kesi ya mwale ni pesa zilitoka nje ya nchi na kuingia kwenye acc yake.
Banjoi hajawahi kua muajiriwa wa tanzaniteone kaja mererani 2013 kuzama kwenye mgodi wa manjulu.
Moja ni fala tu wala hana ujanja zaidi ya huko mtaani kwao daraja mbili
 
Mitaa gani hiyo
 
Tulia dada huko daslam mmelegea sana huko daslam alijitokeza mtu anaitwa scorpion akamtoboa mtu macho hadharani lakin hakuna msaada wowote alioupata huyo mtobolewa macho sasa ndo ajitokeze mtu na shortgun mtamfanya nini?
Sasa unashangaa hii... Mbona arusha mwanaume kaolewa na hakuna kitu mlifanya..... Au mliunga mkono hoja.!?

Au wanaoibiwa madini mbona hakuna kitu mlifanya;?


Arusha hakuna kitu... Pengine ni ufala wa kutotembea ukajifunza we ni kujifungia arusha tu... Utaelewa nin.

Usela mavi tu.
 
Safi man..... Elekeza madogo.. wanasikiliza story za chindo na donii wanakuja kusimulia
 
Aisee hii dunia ina watu, mimi nikimuona mtu anatumia kisu tu kupora namkwepa mita mia sipiti nae njia moja,
INSHORT SINA HISTORIA YA WAHARIFU .
 
JUSTIN NYARI,tushawahi kwenda ofisini kwake kitambo sana tulimpelekea rhodelite aliwaka sana,pesa sasa ikawa mtihani
Akataka tumwachie mzigo,alikuwa dhuluma
Anaweza kupa hela na badaye akakutumia watu wakupore wanarudisha kwake...
Nakumbuka tulipotoka ofisini kwake watu tulinyoosha Nairobi moja kwa moja....
Alibaki nyuma kablow tu


Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…