Kalunya
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 13,322
- 18,609
Jpm nae kawasambaratisha sana.Kitambo sana ukisema Chuga Chuga kweliii mitaa ilikua kama mexico au colombia sasa hivi chuga imepoa sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jpm nae kawasambaratisha sana.Kitambo sana ukisema Chuga Chuga kweliii mitaa ilikua kama mexico au colombia sasa hivi chuga imepoa sana.
Lakini kama alikutenda ndo wakati sahihi wa kumlipizia kisasi sasa.Huyu ndo imetumika code ya JUSTON NYERI.
Ila siku hizi ameokoka anaendesha biashara za kistaarabu.
Scorpion hakuwa shida na mtu alimtoboa macho mfadhili wa vibaka.scorpion alikuwa kama askari Jamii.Soon atarudi kitaa.Tulia dada huko daslam mmelegea sana huko daslam alijitokeza mtu anaitwa scorpion akamtoboa mtu macho hadharani lakin hakuna msaada wowote alioupata huyo mtobolewa macho sasa ndo ajitokeze mtu na shortgun mtamfanya nini?
Hii ndo ilikuwa michezo ya matajiri wengi wa moshi wengi wametajirika kwa damu mtu ananuka damu ananunua mabus anaandika maneno ya Mungu kujifanya mtakatifu.JUSTIN NYARI,tushawahi kwenda ofisini kwake kitambo sana tulimpelekea rhodelite aliwaka sana,pesa sasa ikawa mtihani
Akataka tumwachie mzigo,alikuwa dhuluma
Anaweza kupa hela na badaye akakutumia watu wakupore wanarudisha kwake...
Nakumbuka tulipotoka ofisini kwake watu tulinyoosha Nairobi moja kwa moja....
Alibaki nyuma kablow tu
Ova
Ngunguli ndo aliekua PGO mkubwa kipindi cha WBM?Uhalifu wa Arusha wa kulaumiwa ni ngunguli ye ndo alikuwa mlezi wa uovu ule. Ashukuriwe baba yake Tunda ndo aliwamaliza Arusha ikawa shwali.
Yule mzee hovyo kabisa kwenye Jamii. Ndie aliyewafanya wapemba wakawa wakimbizi kwa kuisaidia chakavu isizame.
Eh dhuluma sanaHii ndo ilikuwa michezo ya matajiri wengi wa moshi wengi wametajirika kwa damu mtu ananuka damu ananunua mabus anaandika maneno ya Mungu kujifanya mtakatifu.
Wakina sembeki tenaHii ndo ilikuwa michezo ya matajiri wengi wa moshi wengi wametajirika kwa damu mtu ananuka damu ananunua mabus anaandika maneno ya Mungu kujifanya mtakatifu.
Yah wanajifanya watu wa dini sanaaaaaaHii ndo ilikuwa michezo ya matajiri wengi wa moshi wengi wametajirika kwa damu mtu ananuka damu ananunua mabus anaandika maneno ya Mungu kujifanya mtakatifu.
Wameua watu sana.mtu akiwapeleka madini anapewa pesa,kisha wanatuma vikosi vyao vinamua na kumpora pesa kabla ajaondoka. Halafu yanajifanya wacha MunguEh dhuluma sana
Imewakaa sana ndomana mwisho
Wao mmbayaa
Ova
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Gangster Sabaya huyu ni wa muda huu
Yule aliyezaa na housegirlNgunguli ndo aliekua PGO mkubwa kipindi cha WBM?
Watu wa ajabu sanaWameua watu sana.mtu akiwapeleka madini anapewa pesa,kisha wanatuma vikosi vyao vinamua na kumpora pesa kabla ajaondoka. Halafu yanajifanya wacha Mungu
Wanaamini wao ndo wenye shida ya pesa.Halafu kwa kujifanya wasamaria wema kushindana makanisani kutoa michango hawajambo.Watu wa ajabu sana
Na mpaka leo bado wana style hizo
Huko dhuluma dhuluma
Ova
Nlishasemaga hiyoScorpion hakuwa shida na mtu alimtoboa macho mfadhili wa vibaka.scorpion alikuwa kama askari Jamii.Soon atarudi kitaa.
Scorpion hakuwa kibaka.
Mawala alifariki auHuyo Nyari advocate afai kabisa damu tupu za watu.Ndie alikuwa wakili wa majambazi Arusha. Dhuluma tupu.
KUNA MMJA NAYE JINA KAPUNI ALINIDHULUMUGI,ANATOKEA PANDE HIZOWanaamini wao ndo wenye shida ya pesa.Halafu kwa kujifanya wasamaria wema kushindana makanisani kutoa michango hawajambo.
Hata Erasto msuya alivuna alichopanda,ukiua kwa upanga utaondoka kwa upanga.
Hizo kesi alizosimulia za Justin Nyari enzi za RPC kamanda James Kombe ni za mwaka 2000 kuendelea, kwahiyo simu za mikononi zilikuwepo. Wakili mhusika hapo ni Medium Mwale. Sijui mleta mada anaogopa nini kuwataja majina wakati ishu zao zinajulikana waziwazi na magazeti mengi yaliandika sana tu.Huyo dreva taxi wa kuitwa Martin alikuwa anatumia njia gani ya mawasiliano kuwapa "codes" manyamera wakiwa porini? Kulikuwa na simu za mikononi miaka hiyo?
Sent from my TECNO LB7 using JamiiForums mobile app
Ulaya zama za ushenzi ilikuwa ukimdhulumu mtu anakusaka kimya kimya anakupiga bullets ilisaidia sana kujenga uaminifu.watu waliogopa kuzulumu wenzao kwa kuogopa kifo.KUNA MMJA NAYE JINA KAPUNI ALINIDHULUMUGI,ANATOKEA PANDE HIZO
HIZO ILA OFISI YAKE ILIKUWA DAR,ALIKUA ANASALI PENTAKOST CHURCH ALAFU FAZA CHURCH
NLITUWATUMIA PIRA OLA.....NLIENDA HADI KWA MKUU WAO WA KANISA SMBDY TIBA,SUMBUA SANA MPAKA AKASALIMU AMRI
NLIMWQMBIA WEE HUWEZ KUNIPIGA KIFALA
MM NSHAPIGANA VITA VYA ARDHIN NA ANGANI MZEE UTAONA....ALINIPA CHANGU
SAHV ANA MWAKA WA 5 ANA STROKE SASA MAGONJWA
ova