A - Town Gangsters walioitikisa Arusha kwa matukio ya uhalifu

Watoto wa kike sjui kwann wanapendaga bad boys

Kuna bad boy mmoja Arusha Tech aliwah miliki watoto wawili wazuriiii kinyama toka dsm na ajabu mademu hao walkuwa marafik lakin jamaa alikuwa anawamega wote

Jamaa alkuwa mtu wa sigara,mibangi na pombe,kwenye magorofa ya ATC alikuwa ana chumba anaishi peke yake afu chumba kichafu balaa,akiwemo ndani muda wote ni mimoshi,nilkuwa natafakar sana wale madem waliwezaje kumvumilia ingawaje jamaa alikuwa handsome na ushombe shombe
 
Huu uzi usingekamilika bila kuliona jina la Kingkola, Wayamkali FC walikuwa kila siku wanashinda sababu ya ubabe 😄

Ila uhuni, ubabe, dhuruma na ndugu zao havinaga mwisho mzuri ndio maana hao wote hapo wameishia kufa vifo vibaya kabisa
 
hii stori kama niliwahi kuhadithiwa huyo jamaa alisumbua sana enzi ya nyerere alikamatwa mamboleo - muheza kama sikosei
 
Mwaka juzi nadhani, alienda kuleta vurugu kwa watu kwa kigezo cha upolisi (mtaa wa jaluo chini pembeni ya mtoni). Wakamkata panga sema hakufa
Alimuuza kibaka mmoja baada ya kushindwa kwenye kumuuzia mzigo wa uwizi halafu akamchoma kwa police...jamaa akamuitia dili lingine halafu akamkatakata na panga mojaa akalazwa icu kidogo afe
 
Alex alikimbizwa kitambo kwa kesi ya mauaji...meko hata ndoto ya ikulu hakua nayo enzi ya jk awamu yake ya kwanza
 
wanawake wanapenda wanaume wakorofi, wanaowatesa na kuwanyanyasa... wanapenda wanaume malaya na wahuni yaani kwa kifupi wanawake wanapenda sana kuteswa na mwanaume
 
Huyo nyokaa alikua ni balaa
 
Naona sahv mapapa wanarudi

Ova
 
hii stori kama niliwahi kuhadithiwa huyo jamaa alisumbua sana enzi ya nyerere alikamatwa mamboleo - muheza kama sikosei
Ninasikia waliona US $ za Mzungu, Mzungu aliomba kuonana na Rais akamueleza kwa masikitiko. Ndipo IGP alipewa muda maalum kukamilisha zoezi.
 
Huyo dreva taxi wa kuitwa Martin alikuwa anatumia njia gani ya mawasiliano kuwapa "codes" manyamera wakiwa porini? Kulikuwa na simu za mikononi miaka hiyo?

Sent from my TECNO LB7 using JamiiForums mobile app
Simu zilikuwepo. Mimi mwenyewe wakati naanza Form Five mwaka 2000 pale Makongo JKT nilikua namiliki Simu ya siemens C25
 
Sasa pesa zimetoka nje ya nchi baada ya madini kupelekwa nje ya nchi, ama huelewi nini
 
Wapigaji si watu wa matumizi,pesa wanatoa sana

Ova
 
🤣🤣🤣
Hatari sanaaa....

Hatimaye nyau akakamatwa kama njiwa tunduni.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…