Aambiwa mume wake analazimisha kuingiliwa kinyume na maumbile, afanye nini?

Aambiwa mume wake analazimisha kuingiliwa kinyume na maumbile, afanye nini?

Viva weekend JF

Kuna rafiki yangu jirani kabisa na napoishi na ameolewa na mume wake mtanashati swafi kabisa ambaye huwa anasema anafanya kazi kariakoo duka la simu. Na ndo huwa namuagiza yeye hata accesories zangu napohitaji

Sasa leo tukiwa tunapiga story za hapa na pale ndipo akaniambia kuna rafiki wa mme wake alimpigia asubuhi sana. Lakini kwa sababu alikuwa kwenye jumuia hakupokea na akazima simu kwa muda hadi alipotoka kwenye jumuia

Sasa ile anawasha simu yake ndipo akakutana na text toka kwa huyo rafiki wa bae yake imeandikwa "Shem mwambie mume wako aache kunilazimisha nim*%% (kumuingilia kinyume na maumbile) coz mimi ni muislam safi na sitaki madhambi hayo"

Bila hiyana bi dada akampigia huyo kaka kuthibitisha kama hajakosea namba. Cha ajabu mkaka akafunguka stori nzima na kumuachia bumbuwazi shosti wangu.

Sasa amekuja nimpe idea style gani alipeleke hilo kwa mume wake. Nami nikaona bora nije kwa great thinkers kwanza kabla sijampa ushangazi wangu.
vijana wengi mmeharibika sana, ushoga ni dhambi na haitawaacha salama. mtajulikana wote. hata ujifiche vipi.
 
Mfanyie bwana wako kitu roho yake inapenda kwa kumpa kinyume na maunbile ili aachane na huyo kaka la sivyo atakuacha na kumchukua huyo kaka.

Kuwa mjanja
 
Mi ninacholaumu ni sheria mpya ya jf kwamba member lazima ajiunge ili kusoma thread..

Matatizo ndio haya..
 
1728745205944.png
 
Viva weekend JF

Kuna rafiki yangu jirani kabisa na napoishi na ameolewa na mume wake mtanashati swafi kabisa ambaye huwa anasema anafanya kazi kariakoo duka la simu. Na ndo huwa namuagiza yeye hata accesories zangu napohitaji

Sasa leo tukiwa tunapiga story za hapa na pale ndipo akaniambia kuna rafiki wa mme wake alimpigia asubuhi sana. Lakini kwa sababu alikuwa kwenye jumuia hakupokea na akazima simu kwa muda hadi alipotoka kwenye jumuia

Sasa ile anawasha simu yake ndipo akakutana na text toka kwa huyo rafiki wa bae yake imeandikwa "Shem mwambie mume wako aache kunilazimisha nim*%% (kumuingilia kinyume na maumbile) coz mimi ni muislam safi na sitaki madhambi hayo"

Bila hiyana bi dada akampigia huyo kaka kuthibitisha kama hajakosea namba. Cha ajabu mkaka akafunguka stori nzima na kumuachia bumbuwazi shosti wangu.

Sasa amekuja nimpe idea style gani alipeleke hilo kwa mume wake. Nami nikaona bora nije kwa great thinkers kwanza kabla sijampa ushangazi wangu.
Huwa unatuita vivulana lakini tuna akili kuliko wewe, achana nao
 
Kuna daadhi watakuambia hiyo ni starehe ya kawaida. Mungu kaweka tu "kifo cha mende " ila binadamu alivyo mtundu akagundua starehe nyingine ambayo inazidi kifo cha mende.
 
Viva weekend JF

Kuna rafiki yangu jirani kabisa na napoishi na ameolewa na mume wake mtanashati swafi kabisa ambaye huwa anasema anafanya kazi kariakoo duka la simu. Na ndo huwa namuagiza yeye hata accesories zangu napohitaji

Sasa leo tukiwa tunapiga story za hapa na pale ndipo akaniambia kuna rafiki wa mme wake alimpigia asubuhi sana. Lakini kwa sababu alikuwa kwenye jumuia hakupokea na akazima simu kwa muda hadi alipotoka kwenye jumuia

Sasa ile anawasha simu yake ndipo akakutana na text toka kwa huyo rafiki wa bae yake imeandikwa "Shem mwambie mume wako aache kunilazimisha nim*%% (kumuingilia kinyume na maumbile) coz mimi ni muislam safi na sitaki madhambi hayo"

Bila hiyana bi dada akampigia huyo kaka kuthibitisha kama hajakosea namba. Cha ajabu mkaka akafunguka stori nzima na kumuachia bumbuwazi shosti wangu.

Sasa amekuja nimpe idea style gani alipeleke hilo kwa mume wake. Nami nikaona bora nije kwa great thinkers kwanza kabla sijampa ushangazi wangu.
Pole sana mkuu,,
Nipe namba za huyo rafiki yako nijaribu kumpa ushauri,,

Isije ikawa kaolewa na mwanamke mwenzie,,

Njoo inbox plz
 
Hilo ni tatizo la kudumu, mwambie ajipange tu kuachana nae kama bado hawajafunga ndoa, kama wamefunga ndoa waende kwa viongozi wao wa dini waone watafanyaje. Mtu anayeliwa kiboga ni ngumu sana kuacha hiyo michezo
Waende Kwa viongozi wa dini wakafanye Nini?
 
afu we mshangazi nlishakuona mdaa tuu agenda yako siyo nzuri humu, kwa nini lakini unahamasisha vitu vya kipumbavu hivi?
 
Wamedhukumiana kwenye biashara au kuna kitu wamehitalifiana kwa hiyo huyo jamaa anataka kulipiza kisasi. Asiamini Moja kwa Moja pengune anataka kumchafua
 
Back
Top Bottom