Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi ninacholaumu ni sheria mpya ya jf kwamba member lazima ajiunge ili kusoma thread..
Matatizo ndio haya..
Kuna limit nasikia.. limit ya muda.Mbona mm sometimes huwa naingia kam guest na sizuiliwi
Anhaa kama ni hivo sawa maana hata hivyo guests huwa wanakuwa hafi 8000 hukoo onlineKuna limit nasikia.. limit ya muda.
Hadithi ndefu ujinga mtupu
halafu huyo anayejiita mshangazi ni mwanaume. just imagine. vijana wa hovyo kabisa.HII CHAI HAINA UKWELI WOWOTE. UNATAKA COMMENTS NYINGI?UNGESEMA MUMEO UNGEPATA NYINGI ZAIDI.
nitakumiza binti yanguUNATAKA KUNIKAZA?
Wakamkague malinda wajionee ni kwa kiasi gani huyo bwana kaliwa kiboga..🙂Waende Kwa viongozi wa dini wakafanye Nini?
#we mshangazi jau tu __siuseme tu kuwa niww..? 😃😃😃Viva weekend JF
Kuna rafiki yangu jirani kabisa na napoishi na ameolewa na mume wake mtanashati swafi kabisa ambaye huwa anasema anafanya kazi kariakoo duka la simu. Na ndo huwa namuagiza yeye hata accesories zangu napohitaji
Sasa leo tukiwa tunapiga story za hapa na pale ndipo akaniambia kuna rafiki wa mme wake alimpigia asubuhi sana. Lakini kwa sababu alikuwa kwenye jumuia hakupokea na akazima simu kwa muda hadi alipotoka kwenye jumuia
Sasa ile anawasha simu yake ndipo akakutana na text toka kwa huyo rafiki wa bae yake imeandikwa "Shem mwambie mume wako aache kunilazimisha nim*%% (kumuingilia kinyume na maumbile) coz mimi ni muislam safi na sitaki madhambi hayo"
Bila hiyana bi dada akampigia huyo kaka kuthibitisha kama hajakosea namba. Cha ajabu mkaka akafunguka stori nzima na kumuachia bumbuwazi shosti wangu.
Sasa amekuja nimpe idea style gani alipeleke hilo kwa mume wake. Nami nikaona bora nije kwa great thinkers kwanza kabla sijampa ushangazi wangu.
Great 'sinkers.'Great Thinkers ...
🤣🤣🤣🤭wewe kuna nati zimelegea wallah
Aisee.Viva weekend JF
Kuna rafiki yangu jirani kabisa na napoishi na ameolewa na mume wake mtanashati swafi kabisa ambaye huwa anasema anafanya kazi kariakoo duka la simu. Na ndo huwa namuagiza yeye hata accesories zangu napohitaji
Sasa leo tukiwa tunapiga story za hapa na pale ndipo akaniambia kuna rafiki wa mme wake alimpigia asubuhi sana. Lakini kwa sababu alikuwa kwenye jumuia hakupokea na akazima simu kwa muda hadi alipotoka kwenye jumuia
Sasa ile anawasha simu yake ndipo akakutana na text toka kwa huyo rafiki wa bae yake imeandikwa "Shem mwambie mume wako aache kunilazimisha nim*%% (kumuingilia kinyume na maumbile) coz mimi ni muislam safi na sitaki madhambi hayo"
Bila hiyana bi dada akampigia huyo kaka kuthibitisha kama hajakosea namba. Cha ajabu mkaka akafunguka stori nzima na kumuachia bumbuwazi shosti wangu.
Sasa amekuja nimpe idea style gani alipeleke hilo kwa mume wake. Nami nikaona bora nije kwa great thinkers kwanza kabla sijampa ushangazi wangu.