fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 2,977
- 3,798
wazo zuriawaite wote asikilize pande zote mbili halafu afanye maamuzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wazo zuriawaite wote asikilize pande zote mbili halafu afanye maamuzi
Lengo lako siyo kuingiliwa bali ni UDINI.Viva weekend JF
Kuna rafiki yangu jirani kabisa na napoishi na ameolewa na mume wake mtanashati swafi kabisa ambaye huwa anasema anafanya kazi kariakoo duka la simu. Na ndo huwa namuagiza yeye hata accesories zangu napohitaji
Sasa leo tukiwa tunapiga story za hapa na pale ndipo akaniambia kuna rafiki wa mme wake alimpigia asubuhi sana. Lakini kwa sababu alikuwa kwenye jumuia hakupokea na akazima simu kwa muda hadi alipotoka kwenye jumuia
Sasa ile anawasha simu yake ndipo akakutana na text toka kwa huyo rafiki wa bae yake imeandikwa "Shem mwambie mume wako aache kunilazimisha nim*%% (kumuingilia kinyume na maumbile) coz mimi ni muislam safi na sitaki madhambi hayo"
Bila hiyana bi dada akampigia huyo kaka kuthibitisha kama hajakosea namba. Cha ajabu mkaka akafunguka stori nzima na kumuachia bumbuwazi shosti wangu.
Sasa amekuja nimpe idea style gani alipeleke hilo kwa mume wake. Nami nikaona bora nije kwa great thinkers kwanza kabla sijampa ushangazi wangu.