Aambiwa mume wake analazimisha kuingiliwa kinyume na maumbile, afanye nini?

vijana wengi mmeharibika sana, ushoga ni dhambi na haitawaacha salama. mtajulikana wote. hata ujifiche vipi.
 
Mfanyie bwana wako kitu roho yake inapenda kwa kumpa kinyume na maunbile ili aachane na huyo kaka la sivyo atakuacha na kumchukua huyo kaka.

Kuwa mjanja
 
Mi ninacholaumu ni sheria mpya ya jf kwamba member lazima ajiunge ili kusoma thread..

Matatizo ndio haya..
 
Huwa unatuita vivulana lakini tuna akili kuliko wewe, achana nao
 
Kuna daadhi watakuambia hiyo ni starehe ya kawaida. Mungu kaweka tu "kifo cha mende " ila binadamu alivyo mtundu akagundua starehe nyingine ambayo inazidi kifo cha mende.
 
Pole sana mkuu,,
Nipe namba za huyo rafiki yako nijaribu kumpa ushauri,,

Isije ikawa kaolewa na mwanamke mwenzie,,

Njoo inbox plz
 
Hilo ni tatizo la kudumu, mwambie ajipange tu kuachana nae kama bado hawajafunga ndoa, kama wamefunga ndoa waende kwa viongozi wao wa dini waone watafanyaje. Mtu anayeliwa kiboga ni ngumu sana kuacha hiyo michezo
Waende Kwa viongozi wa dini wakafanye Nini?
 
afu we mshangazi nlishakuona mdaa tuu agenda yako siyo nzuri humu, kwa nini lakini unahamasisha vitu vya kipumbavu hivi?
 
Wamedhukumiana kwenye biashara au kuna kitu wamehitalifiana kwa hiyo huyo jamaa anataka kulipiza kisasi. Asiamini Moja kwa Moja pengune anataka kumchafua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…