Aambiwa mume wake analazimisha kuingiliwa kinyume na maumbile, afanye nini?

Sijaelewa, yaani mume wa mtu anamlazimisha mwanaume mwenzake au mwanamke?
 
Kuingiliwa kwa mwanaume, hakuna kinyume na maumbile, maana hana maumbile sahihi ya kuingiliwa.
Huyo sema analazimisha kufanyiwa vitendo vya kishoga, kwa kutumia Tafsida ila bila tafsda tunasema analazimisha ..................
 
Fuatulia kwa umakini, utapothibithisha kama n kweli njoo tukupe ushauri
 
HII CHAI HAINA UKWELI WOWOTE. UNATAKA COMMENTS NYINGI?UNGESEMA MUMEO UNGEPATA NYINGI ZAIDI.
 
Ujinga mtupu ๐Ÿšฎ
Yaani wewe ushirikishwe halafu Tena uje kutusumbua huku?
 
Izi mada zilipunguaga anyway jicho ni tamu mno
 
#we mshangazi jau tu __siuseme tu kuwa niww..? ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ
 
Kama huyu shemeji yake ajampa ushahidi wa kimazungumzo kati yao au ujumbe wa maandishi basi msiamini moja kwa moja
Ao wanaume anawez akawa mkweli au akaja kulipiza kisasi kwa mume wa uyo rafik yak ,uwenda shemej yako katembea na mke wa jamaa X au walikwazan kinamn yoyote
 
Aisee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ