Abarikiwe anayeibariki Israel alaaniwe anayeilaani Israel

Abarikiwe anayeibariki Israel alaaniwe anayeilaani Israel

Kama Kuna ulevi mbaya duniani basi ni dini zetu,yaani Mungu wetu anawapenda wasio mpenda Wala kumtambua, wanao kataa uwepo wake, Amani na salama wapendwa. Sisi katika ukatoliki Kila anayemwamini kristo kuwa mwokozi wake na kumfuata tayali ni mteule, Mungu wetu hana ubaguzi hana taifa
 
Ipo hivi kaka yangu, Mungu aliyeziumba mbingu na dunia amesema kua atakayeilaani Israel atalaaniwa, kama huamini sasa anza kumonitor maisha yako, uchumi wako, mwenendo wa familia yako na ukoo wako, utaanza kunote laana inaanza kutembea katika nyumba yako. Najua ukipata majibu na kuona umeanza kulaanika hutarudi humu kusema chochote, ila believe me kwa kuilaani kwao Israel humu, mafuriko ya laana yataanza kuaznia sasa. Nakuhurumia sana ila hakuna namna. Hata mimi wakati mwingine nawaonea huruma wale watoto wa Gaza ila neno limeshipigiwa mstari, watoto wa Gaza wanahukumiwa kwasababu ya laana ya wazazi wao wanaoilaani srael, kaka yangu achana na kuilaani Israel, utalaanika vibaya sana.

Huo ni ujinga, inamaana wachina wajapani wakorea, wahindu wao laana haiwagusi ila waafrika tu
 
Biblia nzuri sana ina kila kitu
soma mandiko utaona sehemu alaaniwe anaeilaani israel
abarikiwe anaeibariki israel

kuwa makini na post za israel jf usishangae unachaondika ndicho kinachokufwata
ama baraka ama laana

sikutishi nakukumbusha
sty blsd Israel
😄 Kweli nyie vichaa hapo anambiwa Nabii Yakobo nitambariki atakaye kubariki na nitamlani atakaye kulani?

Haya tuonyeshe wakati Paulo alitunga hio bibilia wapi kulikuwa na nchi inaitwa Israel?

Mimi naona nyie ndio mtalaniwa kwa kubadili jina la Mtume kuwa nchi, na nchi yenyewe imezungukwa na lana za kila aina kuanzia ushoga mpaka uwaji 😄
 
Inakuwaje Mungu anateuwa Taifa la MASHOGA na kuliita Taifa teule...?

Kama kweli Israel ni Taifa Teule la Mungu, Bila shaka huyo Mungu anawapenda Mashoga na yeye atakuwa Shoga.

Na yeyote anaye amini Israel ni Taifa teule, basi na yeye ni SHOGA.
 
Mungu aliubariki uzao wa Ismael ambaye ni baba wa waarabu, hapa tunachoongelea ni kuilaani Israel. Unaweza kua mwarabu na usiilaani Israel, kuna ambao sio waarabu kama hawa wa humu jf kilasiku kuilaani Israel, hawa lazima walaanike tuu.
Unamaanisha...atakaye mlaani SHOGA na yeye atalaanika..?
 
Biblia nzuri sana ina kila kitu
soma mandiko utaona sehemu alaaniwe anaeilaani israel
abarikiwe anaeibariki israel

kuwa makini na post za israel jf usishangae unachaondika ndicho kinachokufwata
ama baraka ama laana

sikutishi nakukumbusha
sty blsd Israel
Hayo maandiko yako wapi? Tusidanganyane hapa kwa cheap propaganda.
 
Some comments zangu uzielewe, Mungu ameshasema atakayeilaani Israel nayeye atalaaniwa, hiyo habari ya ushoga Mungu atawahukumu hao mashoga kulingana na neno lake.
Weka andiko hapa linalosema hivyo.
 
Biblia nzuri sana ina kila kitu
soma mandiko utaona sehemu alaaniwe anaeilaani israel
abarikiwe anaeibariki israel

kuwa makini na post za israel jf usishangae unachaondika ndicho kinachokufwata
ama baraka ama laana

sikutishi nakukumbusha
sty blsd Israel
Mungu huwa hashindwi wameanza kuuana wenyewe kwa wenyewe huko
 

Attachments

  • Screenshot_20231215-213008_Instagram.jpg
    Screenshot_20231215-213008_Instagram.jpg
    82.6 KB · Views: 1
Biblia nzuri sana ina kila kitu
soma mandiko utaona sehemu alaaniwe anaeilaani israel
abarikiwe anaeibariki israel

kuwa makini na post za israel jf usishangae unachaondika ndicho kinachokufwata
ama baraka ama laana

sikutishi nakukumbusha
sty blsd Israel
Mungu mwenyewe kasha walaani kwa tabia zao za kishoga
IMG_20231214_142459.jpg
IMG_20231211_081549.jpg
 
Biblia nzuri sana ina kila kitu
soma mandiko utaona sehemu alaaniwe anaeilaani israel
abarikiwe anaeibariki israel

kuwa makini na post za israel jf usishangae unachaondika ndicho kinachokufwata
ama baraka ama laana

sikutishi nakukumbusha
sty blsd Israel
Usiwe kichaa amka.hao jamaa hawawapendi wakristo na wanaabudu shetani na sio taifa la Mungu tena.usiwe mjinga amka.hawa jamaa ni wauaji,wabakaji hawana utu na ushahidi upo.ndo maana mnaangamia kwa kukosa maarifa.mtu mwenye akili hawezi kuwashangilia hawa jamaa.wewe ni mkristo usiye na akili.

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom