Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Penzi kitovu Cha upofuNimeangalia documentary moja kuhusu ABBA, inaelekea mapenzi ndio ilikuwa chanzo cha kusambaratika kwa kundi baada ya wawili kazi yao kuzama kwenye penzi baadae kuachana. Inasikitisha kwamba wakati kundi linavunjika, bado walikuwa juu na mashabiki zao kila pembe ya Dunia wanawasubiri. Mapenzi na kazi sometimes inaweza kuwa disaster.
Kiboko yao walikuwa Boney M.Walikuwa na vipaji hatari, hadi leo ningekuwa bado nasikiliza music ningekuwa nawaskiliza hadi leo
Boney M lkn hawakuwa na nyimbo nyingi kama. Hawa.Kiboko yao walikuwa Boney M.
Boney M wana nyimbo nyingi na nzuri kuliko ABBA,labda uwe unasikiliza zile Christmas Songs pekee.Boney M lkn hawakuwa na nyimbo nyingi kama. Hawa.
Ila watu wa zamani wameimba jamanii. Sio hawa wa sasa zogoo tu.
Hamna kitu! Kamwe huwezi kufananisha Boney M na ABBA. ABBA walikuwa wanaandika, kupiga vyombo na kuimba nyimbo zao zote. Boney M walikuwa wanafanyiwa karibu kila kitu na producer wao Mjerumani anayeitwa Frank Farian. Huyu jamaa kwa wasiomjua ndiye alikuwa pia producer wa Milli Vanilli ikaja kujulikana kwamba wale jamaa walikuwa hawaimbi wao bali wana-lip sync nyimbo walizoimba watu wengine mpaka kupelekea kuporwa tuzo ya grammy waliyoshinda. Kuna fununu kwamba hata Boney M walifanya huo mchezo ingawa hakuna ushahidi.Kiboko yao walikuwa Boney M.
I wish kama wahusika wa utalii wapo humu wafanye arrangement hata kea kuwalipa wawalete ku re sing nyimbo zao Tanzania haya huu ya mlima Kilimanjaro,Serengeti na Zanzibar.Watapaya viewers wengi na kuattract watalii wengi mno.View attachment 2242945
View attachment 2242946
Benny Andersson, 75, Agnetha Fältskog, 72, Anni-Frid Lyngstad, 76, and Björn Ulvaeus, 77, pulled out all the stops as they posed on the red carpet at the glitzy launch event, where they prepared to watch their digital avatars take to the stage.
View attachment 2242947
Pictured in 1974
Serengeti, Ngorongoro na Loliondo ni mali ya Waarabu, mpaka warithie hili litokee.I wish kama wahusika wa utalii wapo humu wafanye arrangement hata kea kuwalipa wawalete ku re sing nyimbo zao Tanzania haya huu ya mlima Kilimanjaro,Serengeti na Zanzibar.Watapaya viewers wengi na kuattract watalii wengi mno.
nyimbo za zamani bana ukisikiliza mpaka unalala.Boney M lkn hawakuwa na nyimbo nyingi kama. Hawa.
Ila watu wa zamani wameimba jamanii. Sio hawa wa sasa zogoo tu.
Bado na differ na wewe mkuu.Boney M wana nyimbo nyingi na nzuri kuliko ABBA,labda uwe unasikiliza zile Christmas Songs pekee.
Haijawahi kuchuja [emoji3526][emoji3526][emoji22]Dah,maisha ni safari sana aisee..
Naikubali sana I have a dream
Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
Shida bend nyingi za zamani zimevunjika,na waliobaki kwenye game ni wachache sana hawatungi nyimbo mpya wanaimba za zamani tu...wamebaki kina dianarose,tina turner,lione richie,,steve wonder,dolly patron etcBado na differ na wewe mkuu.
ABBA ni habari nyengine
Utakuwa unachanganya na Bonney M mkuu bila shaka.
Mkuu tafuta nyimbo za wakongwe hawa smokey robinson na Aron neville...smokey ndio alikua anamtungia nyimbo dianarose,michael jackson...hawa bado wako hai wanafanya matamasha makubwa now smokey yuko na 83yrz na aron 82yrz still wako fiti kiafyaBoney M lkn hawakuwa na nyimbo nyingi kama. Hawa.
Ila watu wa zamani wameimba jamanii. Sio hawa wa sasa zogoo tu.
Ndio maana Prof Amandina Lihamba alisema "Penzi kitovu cha uzembe" kupitia jirani cha Ngoswe.Nimeangalia documentary moja kuhusu ABBA, inaelekea mapenzi ndio ilikuwa chanzo cha kusambaratika kwa kundi baada ya wawili kazi yao kuzama kwenye penzi baadae kuachana. Inasikitisha kwamba wakati kundi linavunjika, bado walikuwa juu na mashabiki zao kila pembe ya Dunia wanawasubiri. Mapenzi na kazi sometimes inaweza kuwa disaster.
Ndio, hao nii mtu na mkewe. Kundi lilivunjika baada ya kuingiza mapenzi kazini Hali iliyopelekea kushindwa kutoa na kupokea amri za kiutendaji.Kwani hao hapo si kila mtu na mkewe hapo au mimi ndo sielewagi miaka yote hiyo.?