Tetesi: Abdallah Bulembo akalia kuti kavu kisa elimu yake

Sio kweli kwenye Siasa Elimu does not matter!
Siasa ni mipango na sera katika kila ngazi, iweje elimu isihitajike? Ndiyo maana siasa Tanzania imeshindwa kuleta tija katika jamii kumbe wanaoshiriki (wanasiasa) wengi wao ni mbumbumbu. Siasa siyo porojo bali ni fikra yakinifu.
 
Bulembo mikelele yote ile kwenye kampeni kumbe shule sifuri LOL!
 
Wakuu,

Dulah Bulembo huyu ni mtu ninayemkubali sana katika siasa zetu,
lakini sijaifahamu (background) yake naomba japo mwenye kufahamu kidogo kuhusu elimu yake atupie, natamani kumjua kiongozi wangu karibu.
 
Hateuliki sababu ya shule! Alipokuwa TFF aliomba cheti cha Abdala Majura Bulembo! Nadhani wana undugu fulani kama sikosei! Jamaa Ngumbalu! Nadhani anajuta anajuta kwa nini hakwenda hata QT! Sasa JPM anashindwa wapi amuweke!
Wakuu,

Dulah Bulembo huyu ni mtu ninayemkubali sana katika siasa zetu,
lakini sijaifahamu (background) yake naomba japo mwenye kufahamu kidogo kuhusu elimu yake atupie, natamani kumjua kiongozi wangu karibu.
 
teh teh teh teh teh LAMBARD teh teh teh
 
Kichwani hana kitu kweli yaani ni empty box, lakini mdomoni wacha! Ni hatari, utadhani ana post graduate certificate ya longalonga toka Kivukoni. Shida hakuna mahusiano ya mdomo na brain .
 
Abdallah Bulembo ameishia madarasa ya chini sana na kama atakuwa na elimu ni ya sekondari kidato cha nne, amekitumika chama cha mapinduzi kwa muda mrefu na kwasasa ni mwenyekiti wa jumuia ya wazazi taifa(ccm).
Hana tofauti ya elimu na kina Kubenea, Msukuma, Ole Nangole......
 


Vipi mkuu bado?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…