Tetesi: Abdallah Bulembo akalia kuti kavu kisa elimu yake

Tetesi: Abdallah Bulembo akalia kuti kavu kisa elimu yake

Mkuu acha unafiki, mwenyekiti hana cha kufanya katika hilo, maana amechaguliwa na sio kuteuliwa. Hapo labda adondoke kwenye uchaguzi ujao
Mnajuaga mnakuwa makenge cjui niseme unachagua GIZA na MTU si utachagua mtu.Kuna uchaguzi gani sasa wakati ni one man show/contester?
You ma run alone You may see Your a Champion.
Tetesi kutoka Lumumba na Dodoma ni kuwa mwenyekiti wa jumuia ya wazazi nchini Bw.Abdallah Bulembo amekalia kuti kavu.Hii ni siku chache kabla ya mwenyekiti mpya wa CCM kushika kiti .

Tetesi zinadai mwenyekiti mpya amedai hayuko tayari kufanya kazi na viongozi wa idara na jumuiya ambao hawana sifa za kitaaluma kuongoza idara hizo zilizo chini ya CCM.

Taharifa zinadai watu wameanza kampeni za chini kwa chini kuirithi nafasi yake Bw.Majura aambaye inasemekana elimu yake inatiiwa shaka.

Bulembo hajaiingia pale kwa elimu yake,pale kaingia kwa kujua kulamba watu fulani,usisahau kibint chake kina miaka 21 tu tayari ni mbunge wa vijana hiyo kazi yake ya kumchekesha mfalme sio ndogo
 
Tetesi kutoka Lumumba na Dodoma ni kuwa mwenyekiti wa jumuia ya wazazi nchini Bw.Abdallah Bulembo amekalia kuti kavu.Hii ni siku chache kabla ya mwenyekiti mpya wa CCM kushika kiti .

Tetesi zinadai mwenyekiti mpya amedai hayuko tayari kufanya kazi na viongozi wa idara na jumuiya ambao hawana sifa za kitaaluma kuongoza idara hizo zilizo chini ya CCM.

Taharifa zinadai watu wameanza kampeni za chini kwa chini kuirithi nafasi yake Bw.Majura aambaye inasemekana elimu yake inatiiwa shaka.
Huu utakuwa ni uzushi wa hali ya juu kabisa kwani sasa ni nusu mwaka yupo ana mshauri rais mambo ya siasa kwani rais hakujua kuwa Bulembo hana elimu?
 
Tetesi kutoka Lumumba na Dodoma ni kuwa mwenyekiti wa jumuia ya wazazi nchini Bw.Abdallah Bulembo amekalia kuti kavu.Hii ni siku chache kabla ya mwenyekiti mpya wa CCM kushika kiti .

Tetesi zinadai mwenyekiti mpya amedai hayuko tayari kufanya kazi na viongozi wa idara na jumuiya ambao hawana sifa za kitaaluma kuongoza idara hizo zilizo chini ya CCM.

Taharifa zinadai watu wameanza kampeni za chini kwa chini kuirithi nafasi yake Bw.Majura aambaye inasemekana elimu yake inatiiwa shaka.
Huu utakuwa ni uzushi wa hali ya juu kabisa kwani sasa ni nusu mwaka yupo ana mshauri rais mambo ya siasa kwani rais hakujua kuwa Bulembo hana elimu?
 
Bulembo hajaiingia pale kwa elimu yake,pale kaingia kwa kujua kulamba watu fulani,usisahau kibint chake kina miaka 21 tu tayari ni mbunge wa vijana hiyo kazi yake ya kumchekesha mfalme sio ndogo
Upo sahihi kabisa kiongozi Bulembo hayupo pale kwa bahati mbaya
 
Mkuu acha unafiki, mwenyekiti hana cha kufanya katika hilo, maana amechaguliwa na sio kuteuliwa. Hapo labda adondoke kwenye uchaguzi ujao
Kweli naona huyo mleta mada ana chuki zake tu badala ya kumuwacha Bulembo aendelee kutafuna mayai ya ikulu
 
Sifa ya kuchaguliwa uwe mwana ccm ni uwe domokayaa tu
 
kwa hiyo elimu yake haifai lakini mamilioni ya wanachama wenye elimu kama yake inafaa...
 
Kupata uongozi ndani ya CCM kigezo sio elimu, unatakiwa uwe unajua kupiga fitina na majungu kama lizabon anavyofanya sasa hivi kuwachafua kina Rajab luhwavi. Na huu ndyo utaratibu wao. suala la elimu halipewi kipaumbele ndani ya chama hiki na hili lilidhihirishwa wakati wa bunge la katiba ambapo waliweka kipengele kuwa ili uwe na sifa ya kugombea ubunge unatakiwa ujue kusoma na kuandika hatua iliyosababisha yule mbunge maarufu kama "jah people" kacheza kiduku bungeni kwa kuwa naye ni mweupe kichwan
Mbowe ana degree ngapi? Kuchamba kwingi.......
 
Hivi uyo bint yeye ndio aliyetoroka kwa mume au aliachwa hata hivyo aliolewa mdogo sana pengine haukuwa uamuzi wake
 
Huu utakuwa ni uzushi wa hali ya juu kabisa kwani sasa ni nusu mwaka yupo ana mshauri rais mambo ya siasa kwani rais hakujua kuwa Bulembo hana elimu?
anamshauri nini wakati jumuiya yake anayoongoza iko taabani
 
Back
Top Bottom