Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CC Tulia.unajua shinikizo maana yake nini,hata abdul jumbe alichaguliwa akashinikizwa kuachia madaraka
Dogo acha bangi, Mwinyi-Ualimu, Magufuli-Mkemia1 Nyerere Ualimu
2 Mwinyi cjui
3 Mkapa HKL
4 Kikwete Uchumi
5 Maguful Engineering
richa ya elimu ni mtu mwenye hasira za jiraniTetesi kutoka Lumumba na Dodoma ni kuwa mwenyekiti wa jumuia ya wazazi nchini Bw.Abdallah Bulembo amekalia kuti kavu .hii ni siku chache kabla ya mwenyekiti mpya wa CCM kushika kiti .
Tetesi zinadai mwenyekiti mpya amedai hayuko tayari kufanya kazi na viongozi wa idara na jumuiya ambao hawana sifa za kitaaluma kuongoza idara hizo zilizo chini ya CCM.
Taharifa zinadai watu wameanza kampeni za chini kwa chini kuirithi na fasi yake Bw.Majura aambaye inasemekana elimu yake inatiiwa shaka
Ukawa lakini taifa kwanza ukawa unafuata maana Raisi ni wetu wote sio wa ccm peke yaohii namba kuna wakati haichagui we ni ccm au vipi
Namba eheee...!!Hacha waisome
Ndiyo umbea umewatokea pabaya.Mambo ya elimu ya chadema sisi ccm ukiweza manyungu,unafiki,ubazazi na umbea unatosha kuwa kiongozi.Bulembo oyeee ccm oyeee
kale kabinti itabidi nitafute namba yake aisee kazuri sana
Kwahiyo mtoto wake naye anamiliki shangingi vx na mjengo wa akili?Bulembo hajaiingia pale kwa elimu yake,pale kaingia kwa kujua kulamba watu fulani,usisahau kibint chake kina miaka 21 tu tayari ni mbunge wa vijana hiyo kazi yake ya kumchekesha mfalme sio ndogo
Mkuu tupia basi kapicha na sisi tusafishe machoIla ana binti mzuri kweli
Akikosa uenyekiti TAMISEMI wako naye.Wataisoma wengi mwaka huu, yetu macho na masikio
Kwahiyo mtoto wake naye anamiliki shangingi vx na mjengo wa akili?
Kulikuwepo na haja gani ya wewe kuambatanisha maneno ya kifedhuri kwenye hayo masahihisho yako katika bandiko lake?Dogo acha bangi, Mwinyi-Ualimu, Magufuli-Mkemia