Nakubalianà na wewe kwa kiasi fulani tu, mbona hawa wa sasa hivi hizo Elimu zao hata wenyewe haziwasaidii? Utakuta mtu ana Dgree ila hata kujielewa hajielewi hizo nafasi za uongozi akipewa si ndo anaharibu kabisa? Tukubaliane kuwa Elimu inahitajika hasa kwa kazi za Kitaalamu zaidi ila hizi za kuongozana hata wa Kidato cha Nne anatosha alimradi anajua kusima na kuandika kama alivyo yule ndugu yetu wa kile chama jirani, anaweza hata kuonyesha Cheti cha kidato cha Nne? Ila tunamuamini sana na kazi ya kutuongoza anaiweza juzi juzi katoa tamko na tumelikubali.