Tetesi: Abdallah Bulembo akalia kuti kavu kisa elimu yake

Tetesi: Abdallah Bulembo akalia kuti kavu kisa elimu yake

Ndani ya CCM hakuhitajiki elimu, ukishazijua fitna tu ni kigezo tosha.
 
Tetesi kutoka Lumumba na Dodoma ni kuwa mwenyekiti wa jumuia ya wazazi nchini Bw.Abdallah Bulembo amekalia kuti kavu .hii ni siku chache kabla ya mwenyekiti mpya wa CCM kushika kiti .

Tetesi zinadai mwenyekiti mpya amedai hayuko tayari kufanya kazi na viongozi wa idara na jumuiya ambao hawana sifa za kitaaluma kuongoza idara hizo zilizo chini ya CCM.

Taharifa zinadai watu wameanza kampeni za chini kwa chini kuirithi na fasi yake Bw.Majura aambaye inasemekana elimu yake inatiiwa shaka
Asonewe bure, nini maana ya elimu. Bulembo ni msomi mzuri tu na amesoma madrasa na kuhitimu vizuri.Msimjengee mizengwe isio na mashiko.
 
Tetesi kutoka Lumumba na Dodoma ni kuwa mwenyekiti wa jumuia ya wazazi nchini Bw.Abdallah Bulembo amekalia kuti kavu .hii ni siku chache kabla ya mwenyekiti mpya wa CCM kushika kiti .

Tetesi zinadai mwenyekiti mpya amedai hayuko tayari kufanya kazi na viongozi wa idara na jumuiya ambao hawana sifa za kitaaluma kuongoza idara hizo zilizo chini ya CCM.

Taharifa zinadai watu wameanza kampeni za chini kwa chini kuirithi na fasi yake Bw.Majura aambaye inasemekana elimu yake inatiiwa shaka
Kwani elimu yake ya kiwango cha juu ni ipi?
 
Abdul Jumbe alifukuzwa uanachama, kwa hiyo na Bulembo naye atafukuzwa, kwa kosa lipi?


kama hana elimu kweli basi sina wasiwasi kuwa hana nafasi ya kufanya kazi na Bro Magu..mengine ni kujifariji tu
 
Kazi yote ile aliyoifanya wakati wa kampeni ilikuwa kazi bure?
 
Kilichomfanya Mrema akanunua shahada miaka hiyo ni nini vile? Kama elimu haina maana ktk siasa
Elimu does not matter! tazama mfano Wazee wengi walipigana Vita dhidi ya Ukoloni walaikuwa hawajasoma lakini walikuwa na ushawishi mkubwa ndani Jamii zao, Kama Kinjekitile Ngwale, Akina Abushiri na Bwana Heri n.k
 
Jamani Sifa za kuwa kiongozi ndani ya Chama chetu ni kuwa mwanachama wa CCM angalau miezi 6 kuendelea..pia uwe Mtanzania una akili timamu unajua kusoma na kuandika lugha ya Kiswahili tuu darasa halipo hapo bhanaa. Ila kwa sasa mafisi maji yameharibu kabisa hiyo trend ya Chama..fedha imekuwa kigezo cha kupata uongozi ama kura za wadau katika Chama. Sijui itabadilika lini hiyo system let's rest our hopes to the New Chairperson
 
Tetesi kutoka Lumumba na Dodoma ni kuwa mwenyekiti wa jumuia ya wazazi nchini Bw.Abdallah Bulembo amekalia kuti kavu .hii ni siku chache kabla ya mwenyekiti mpya wa CCM kushika kiti .

Tetesi zinadai mwenyekiti mpya amedai hayuko tayari kufanya kazi na viongozi wa idara na jumuiya ambao hawana sifa za kitaaluma kuongoza idara hizo zilizo chini ya CCM.

Taharifa zinadai watu wameanza kampeni za chini kwa chini kuirithi na fasi yake Bw.Majura aambaye inasemekana elimu yake inatiiwa shaka
= Taarifa
 
Back
Top Bottom