Shindu Namwaka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2014
- 4,911
- 3,083
Watampa kazi ya Kuwa MC wa chama.Bulembo na elimu yake ya darasa la saba lazima wamtumbue..kujua kupiga makelele haitoshi..na elimu pia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watampa kazi ya Kuwa MC wa chama.Bulembo na elimu yake ya darasa la saba lazima wamtumbue..kujua kupiga makelele haitoshi..na elimu pia
Wameshapata walichokitaka.Piga mstari tena ana miaka 21 tu sasa unategemea baba atajipendekeza kiasi gani?
Other things remain constant, mi binti yake nimemsifiahii ni sifa ya kuwa mwenyekiti wa jumuiya ya wazazi ya ccm? CCM kweli mna mambo!
ana uhusiano with the current thread? kwani lazima uoneshe tabia zako za ajabu ajabu hapa?Other things remain constant, mi binti yake nimemsifia
Bangi tamu weweDogo acha bangi, Mwinyi-Ualimu, Magufuli-Mkemia
Asonewe bure, nini maana ya elimu. Bulembo ni msomi mzuri tu na amesoma madrasa na kuhitimu vizuri.Msimjengee mizengwe isio na mashiko.Tetesi kutoka Lumumba na Dodoma ni kuwa mwenyekiti wa jumuia ya wazazi nchini Bw.Abdallah Bulembo amekalia kuti kavu .hii ni siku chache kabla ya mwenyekiti mpya wa CCM kushika kiti .
Tetesi zinadai mwenyekiti mpya amedai hayuko tayari kufanya kazi na viongozi wa idara na jumuiya ambao hawana sifa za kitaaluma kuongoza idara hizo zilizo chini ya CCM.
Taharifa zinadai watu wameanza kampeni za chini kwa chini kuirithi na fasi yake Bw.Majura aambaye inasemekana elimu yake inatiiwa shaka
Haya bwana, nimekukubaliBangi tamu wewe
Kilichomfanya Mrema akanunua shahada miaka hiyo ni nini vile? Kama elimu haina maana ktk siasaSio kweli kwenye Siasa Elimu does not matter!
Mmmh! Ebu kaa chini utulie!1 Nyerere Ualimu
2 Mwinyi cjui
3 Mkapa HKL
4 Kikwete Uchumi
5 Maguful Engineering
Hilo jina linamuhusu sana, Bulembo sio la ukoo ni lake. Yeye ni Abdalah Majura.abdala majura -mtangazaji
abdala majura bulembo-mwanasiasa
Kwani elimu yake ya kiwango cha juu ni ipi?Tetesi kutoka Lumumba na Dodoma ni kuwa mwenyekiti wa jumuia ya wazazi nchini Bw.Abdallah Bulembo amekalia kuti kavu .hii ni siku chache kabla ya mwenyekiti mpya wa CCM kushika kiti .
Tetesi zinadai mwenyekiti mpya amedai hayuko tayari kufanya kazi na viongozi wa idara na jumuiya ambao hawana sifa za kitaaluma kuongoza idara hizo zilizo chini ya CCM.
Taharifa zinadai watu wameanza kampeni za chini kwa chini kuirithi na fasi yake Bw.Majura aambaye inasemekana elimu yake inatiiwa shaka
Abdul Jumbe alifukuzwa uanachama, kwa hiyo na Bulembo naye atafukuzwa, kwa kosa lipi?
Unajitoa akili sio, Kwani Mbowe ana Elimu gani ya kuongoza Chadema?Kilichomfanya Mrema akanunua shahada miaka hiyo ni nini vile? Kama elimu haina maana ktk siasa
Elimu does not matter! tazama mfano Wazee wengi walipigana Vita dhidi ya Ukoloni walaikuwa hawajasoma lakini walikuwa na ushawishi mkubwa ndani Jamii zao, Kama Kinjekitile Ngwale, Akina Abushiri na Bwana Heri n.kKilichomfanya Mrema akanunua shahada miaka hiyo ni nini vile? Kama elimu haina maana ktk siasa
= TaarifaTetesi kutoka Lumumba na Dodoma ni kuwa mwenyekiti wa jumuia ya wazazi nchini Bw.Abdallah Bulembo amekalia kuti kavu .hii ni siku chache kabla ya mwenyekiti mpya wa CCM kushika kiti .
Tetesi zinadai mwenyekiti mpya amedai hayuko tayari kufanya kazi na viongozi wa idara na jumuiya ambao hawana sifa za kitaaluma kuongoza idara hizo zilizo chini ya CCM.
Taharifa zinadai watu wameanza kampeni za chini kwa chini kuirithi na fasi yake Bw.Majura aambaye inasemekana elimu yake inatiiwa shaka