Umeamua kujibu mwenyewe ahahahaaa, sasa ndg Bulembo unasema nikae kimya hebu kabla sijakaa kimya nikuulize.Bulembo ni mtu anayeheshimika ndani ya ccm
Hujui chochote kuhusu ccm, Kaa kimya
Mpk Sasa cjaona Nani anaweza kuahvyo labda kalemani mbna sioni wa kuwa magu hata 50 % majaliwa nae kadhibitiwa hna namnaBulembo ana linda fadhila za binti yake yule kulamba ukuuu wa wilaya kutoka kwa mama, so sishangazwi na maneno ya kinafiki ya huyu mzee. All in all who is Makamba in this country mbona mnataka kuifanya tanzania ni nchi ya kikundi fulani na hakika 2025 tusimamisha mtu mwenye kariba ya Magufuli kuvunja hii miiko iliyojijenga miongoni mwa kikundi fulani…
Mpk Sasa cjaona Nani anaweza kuahvyo labda kalemani mbna sioni wa kuwa magu hata 50 % majaliwa nae kadhibitiwa hna namnaBulembo ana linda fadhila za binti yake yule kulamba ukuuu wa wilaya kutoka kwa mama, so sishangazwi na maneno ya kinafiki ya huyu mzee. All in all who is Makamba in this country mbona mnataka kuifanya tanzania ni nchi ya kikundi fulani na hakika 2025 tusimamisha mtu mwenye kariba ya Magufuli kuvunja hii miiko iliyojijenga miongoni mwa kikundi fulani…
Alikuwa machachari sana enzi zakeAlishinda?
Bulembo atambue sisi wapiga kura ni zaidi ya CCMKada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdallah Bulembo, amekiomba Chama hicho kumhoji na kumchukulia hatua za kinidhamu Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina kwa kile alichokiita kwenda kinyume na maadili ya chama.
Bulembo ambaye ni Mwenyekiti mstaafu wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama hicho, ametoa ushauri huo katika mkutano wake na waandishi wa habari akijibu shutuma zilizotolewa na Mpina hivi majuzi baada ya Waziri wa Nishati January Makamba kuondoa tozo ya tsh. 100 kwenye lita ya mafuta.
Bw. Bulembo pia amesema hatua hiyo ya Mpina ni sawa na kumdhihaki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuwa alikwishalizungumzia suala hilo kwa kulitolea ufafanuzi.
Kupitia mkutano wake na waandishi wa habari, Mpina alisema kitendo hicho cha Waziri Makamba ni sawa na uhujumu uchumi, akivitaka vyombo vya uchunguzi vifanye kazi kwa madai kuwa ni kuwaumiza wananchi.
Haya mambo yalianzishwa na awamu ya tano mmeona yalipotufikishaHivi rais wetu ana wasemaji wangapi hata Bulembo? Juzi tena nimesikia makamu mwenyekiti mpya akisema huyu Makamba haguswi atakayejaribu.... sasa huyu makamu wa mwenyekiti anaingilia mpaka utendaji wa serikali hata Bunge hii nchi vipi haina watu? Kila mtu yupo kimyaa yaani wote ninyi mnafagilia kupewa vyeo vya kuteuliwa?
Kasema kipingi cha kampeni walilala mapolini mvua Yao jua laoHivi Burembo bado yupo na anataka kutafutiwa nafasi ahahahaaa.
Nadhani muda wake umekwisha hii ya kutoka shimoni na kujifanya kuwajibu wenzake ni kutafuta kula, kwani msemajinwa chama hayupo ?.
Bulembo ndio msiba wa awamu ya sita kwa kifupi ndio spika ya Bibi Samiah Suluhu Hassan, na anafanya yote kulinda ugali wa binti yakeKasema kipingi cha kampeni walilala mapolini mvua Yao jua lao
Haya mambo yalizaliwa awamu ya tano na huu ndio mwendelezo wake... Kuna wabunge wa ccm miaka Ile walishughulikiwa kusema mambo nje ya bunge ku attack serikali, mawaziri au raisi... Wakasema ni kuihujum serikali na raisi[emoji23].... Wa nacho fanya Akina mpina Kuna watu walijatibu wakati ule na wakanyamazishwa.... Siasa bhanaUnaweza kumhoji Mbunge kwa mambo aliyowasilisha mbungeni? Bunge ina kinga yake. Ilikuwaje system ilimruhusu kuwasilisha yale bungeni kama haikuwa interest ya Serikali ya Chama tawala? Bulembo Aache kuchanganya mambo. Mpina angeongelea yale masuala mtaani ilikuwa ruksa kuchukua hatua za kinidhamu jwa utaratibu wa chama
Katema zile cheche bungeni, na lile bunge ni la wananchi wa Jamhuri wa nchi hii. Siyo Bunge la CCM. CCM muwe na subra
johnthebaptist tupe mwongozo juu ya suala kupitia Kwa Mzee Mgaya Hii chama Na Serikali yake inayoiingilia mhimili mwingine inawatumukua watanzania au wanaccm?
Kumbuka watanzania wote si wanaCCM lakini Bunge la Jamhuri ni lao.
Labda akose akili tu, ila akiwa na akili hata kidogo tu basi atawasumbua n hawatakuwa na cha kumfanya zaidi ya kumpa ugali tu.As far as I know CCM; huyu tayari yupo kwenye mode ya killing himself softly ..
Kashaisha...ni suala.la.muda tu...wala hakuna haja ya CCM kutoa tamko.kufanya hivyo ni kumpa mileage za bure ambazo hanazo.
Kundi la watoto wa vigogo ambao wazazi wao walikuwa wanachama ila kutokana na uaminifu na uadilifu hawakupata umaarufu na wenzao wengi wanaitwa vijana wa Nyerere.Kasema kipingi cha kampeni walilala mapolini mvua Yao jua lao
Ni vile tu hawawezi kurusu usajili wa chama kipya cha siasa ambacho kitakuwa na masalia ya wale walioaminiwa kwenye system ya JPM, na sasa wameenguliwa.Bulembo ana linda fadhila za binti yake yule kulamba ukuuu wa wilaya kutoka kwa mama, so sishangazwi na maneno ya kinafiki ya huyu mzee. All in all who is Makamba in this country mbona mnataka kuifanya tanzania ni nchi ya kikundi fulani na hakika 2025 tusimamisha mtu mwenye kariba ya Magufuli kuvunja hii miiko iliyojijenga miongoni mwa kikundi fulani…
Tuombe kheri InshAllahNi vile tu hawawezi kurusu usajili wa chama kipya cha siasa ambacho kitakuwa na masalia ya wale walioaminiwa kwenye system ya JPM, na sasa wameenguliwa.
Mambo yangekuwa ni moto sana kuelekea 2025.
Wanaccm hawaachiani maji ya kunywa mezani - KikweteKada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdallah Bulembo, amekiomba Chama hicho kumhoji na kumchukulia hatua za kinidhamu Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina kwa kile alichokiita kwenda kinyume na maadili ya chama.
Bulembo ambaye ni Mwenyekiti mstaafu wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama hicho, ametoa ushauri huo katika mkutano wake na waandishi wa habari akijibu shutuma zilizotolewa na Mpina hivi majuzi baada ya Waziri wa Nishati January Makamba kuondoa tozo ya tsh. 100 kwenye lita ya mafuta.
Bw. Bulembo pia amesema hatua hiyo ya Mpina ni sawa na kumdhihaki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuwa alikwishalizungumzia suala hilo kwa kulitolea ufafanuzi.
Kupitia mkutano wake na waandishi wa habari, Mpina alisema kitendo hicho cha Waziri Makamba ni sawa na uhujumu uchumi, akivitaka vyombo vya uchunguzi vifanye kazi kwa madai kuwa ni kuwaumiza wananchi.