Abdallah Bulembo ataka rungu la CCM limshukie Luhaga Mpina kwa kwenda kinyume na maadili ya chama

Luhaga Mpina ni miongoni mwa wanaCCM wamimi wasioheshimu mamlaka......
 
Hayatuhusu
 
Magufuli alikua ni mkosi na laana kwa nchi yetu tusifanye makosa tena

Huyu jamaa alikua ni mkosi kabisa na laana kwa nchi yetu sijui ilikuaje yule mwehu na kichaa akawa rais! Hakua na faida yoyote zaidi ya kuharibu hili taifa

Apumzike anapostahili asante mungu na corona kwa kutuondolea ile laana
 
Bro Biashara sio maandalizi
Umetoka uko kijjn kwenu ukafaulu ukasoma ka digrii kwa mafuta na ges afu ukaajiliwa pura eti nawe ukashauri taifa

Mambo mengine wacha wataalamu waje atusaidie tukiadapt tutaendelea
 
Ujenzi wa jamii ya Yes Men wasiokosoa!
 
As far as I know CCM; huyu tayari yupo kwenye mode ya killing himself softly ..

Kashaisha...ni suala.la.muda tu...wala hakuna haja ya CCM kutoa tamko.kufanya hivyo ni kumpa mileage za bure ambazo hanazo.
Nani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…