GRAMAA
JF-Expert Member
- Nov 1, 2014
- 1,241
- 3,800
Popote ulipo Abdul njoo hadhani kwa kuitisha press useme ukweli juu ya fedha za mama Abdul.
Tundu Lissu na Wenje wameshasema ya kwao kuhusu fedha za mama Abdul. Sasa ni zamu yako na wewe kusema kinagaubaga tujue muongo ni nani kati ya Lissu na Wenje.
Njoo baba hadharani ukate mzizi wa fitina.
Soma Pia: Kuhusu kupokea pesa za Abdul, Mbowe asema Lissu aache kuwapaka matope wenzake
Watanzania tunasubiri press yako kwa hamu zote. Kunyamaza kwako kunasababisha jambo liwe kubwa na kunafanya kila mtu atunge uongo wake.
Abdul ongea na watanzania baba.
Tundu Lissu na Wenje wameshasema ya kwao kuhusu fedha za mama Abdul. Sasa ni zamu yako na wewe kusema kinagaubaga tujue muongo ni nani kati ya Lissu na Wenje.
Njoo baba hadharani ukate mzizi wa fitina.
Soma Pia: Kuhusu kupokea pesa za Abdul, Mbowe asema Lissu aache kuwapaka matope wenzake
Watanzania tunasubiri press yako kwa hamu zote. Kunyamaza kwako kunasababisha jambo liwe kubwa na kunafanya kila mtu atunge uongo wake.
Abdul ongea na watanzania baba.