Abdul Kambaya na wanachama kadhaa kutoka CUF wajiunga CHADEMA na kupokelewa na Freeman Mbowe

Abdul Kambaya na wanachama kadhaa kutoka CUF wajiunga CHADEMA na kupokelewa na Freeman Mbowe

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
FB_IMG_1678518959156.jpg


Taarifa iliyosambazwa na Chama hicho , inaeleza kwamba leo Tarehe 11/3/2023 , Kutafanyika hafla fupi ya kupokea wanachama wapya .

Shughuli hiyo ya dharula itafanyika kwenye Ukumbi wa Garden , Makumbusho , DSM na baadaye Wanachama hao wapya watapokelewa na Mwenyekiti wa Chama hicho kwenye Makao Makuu ya Chama hicho huko Kinondoni , Mkoani Dar es Salaam .

Bado haijafahamika Majina ya Wanachama hao wapya wala sababu hasa za Wanachama hao kupokelewa kwenye Ukumbi Maalum .

Usiondoke JF .

==============

UPDATES : Zaidi ya wanachama 490 wa CUF wamejiunga na Chadema , Akiwemo Abdul Kambaya , ambaye alikuwa kiongozi Mwandamizi wa CUF .
 
Lengo la Chadema Kama chama Cha siasa ni lipi?

Kushika dola au
Kuapata wabunge na madiwani?

Ccm ndani ya miaka 60 hakuna Cha maana wamefanya labda kusema bodaboda na Mama ntilie ni Ajira .

Tunahitaji chama makini ambacho kitawakomboa wananchi kutoka katika umasikini wa Fikra , roho, na Akili .


Kwa siasa zenu sijui Kama Ccm au CDM Kama mpo serious na hii nchi hivi kweli mnaona Raha watu wanavyokula msoto bila kuwasaidia nchi imejaa rasilimali kibao lakini olaaa
 
Lengo la Chadema Kama chama Cha siasa ni lipi?

Kushika dola au
Kuapata wabunge na madiwani?

Ccm ndani ya miaka 60 hakuna Cha maana wamefanya labda kusema bodaboda na Mama ntilie ni Ajira .

Tunahitaji chama makini ambacho kitawakomboa wananchi kutoka katika umasikini wa Fikra , roho, na Akili .


Kwa siasa zenu sijui Kama Ccm au CDM Kama mpo serious na hii nchi hivi kweli mnaona Raha watu wanavyokula msoto bila kuwasaidia nchi imejaa rasilimali kibao lakini olaaa
Lengo la chama chochote cha siasa ni kushika dola
 
Mimi siwakubali CHADEMA ila Mbowe namkubali sana hana bei wala njaa. Kiukweli ni kiongozi shupavu sana, kavumilia figisu figisu nyingi sana toka nimeanza kuifahamu Chadema.
Ana moyo kiukweli huyu jamaa.
Ndio maana Ma CCM,yalifanya kila hila ili atoke uenyekiti wapandikize mtu wao!!wanadhania kila mtu anaweza kuwa mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani tena kwa nchi za kiafrika!!
 
Lengo la Chadema Kama chama Cha siasa ni lipi?

Kushika dola au
Kuapata wabunge na madiwani?

Ccm ndani ya miaka 60 hakuna Cha maana wamefanya labda kusema bodaboda na Mama ntilie ni Ajira .

Tunahitaji chama makini ambacho kitawakomboa wananchi kutoka katika umasikini wa Fikra , roho, na Akili .


Kwa siasa zenu sijui Kama Ccm au CDM Kama mpo serious na hii nchi hivi kweli mnaona Raha watu wanavyokula msoto bila kuwasaidia nchi imejaa rasilimali kibao lakini olaaa
Jambo ambalo watu kama wewe mnakosea ni kukaa nyumbani kwenye kochi na kusubiri watu wawaletee mageuzi. Hili halitakaa litokee. Una habari hata hiyo CCM imefika hapa ilipo kwa sababu ya wananchi kutowajibika kuiwajibisha?
 
Jambo ambalo watu kama wewe mnakosea ni kukaa nyumbani kwenye kochi na kusubiri watu wawaletee mageuzi. Hili halitakaa litokee. Una habari hata hiyo CCM imefika hapa ilipo kwa sababu ya wananchi kutowajibika kuiwajibisha?

Mimi nachofahamu hata wewe haukifahamu kuhusu siasa na ukikijua utaacha kuwa mtumwa wa Fikra na hapa Ccm ndo inapopata point tatu kuhakikisha wajinga Kama nyie ambao hamna Huwezo wa kuhoji Mambo mazito yanoyoibua tafakuri vichwani mwa watu mnaongezeka .
 
Lengo la Chadema Kama chama Cha siasa ni lipi?

Kushika dola au
Kuapata wabunge na madiwani?

Ccm ndani ya miaka 60 hakuna Cha maana wamefanya labda kusema bodaboda na Mama ntilie ni Ajira .

Tunahitaji chama makini ambacho kitawakomboa wananchi kutoka katika umasikini wa Fikra , roho, na Akili .


Kwa siasa zenu sijui Kama Ccm au CDM Kama mpo serious na hii nchi hivi kweli mnaona Raha watu wanavyokula msoto bila kuwasaidia nchi imejaa rasilimali kibao lakini olaaa
Ajabu unaipa Chadema jukumu la serikali, unataka iwakomboe watu kifikra kwa njia ipi? kwa nyenzo zipi walizonazo?

Ili hayo yafanyike, sharti kwanza muwape serikali, wawe na nyenzo ndio na mengine yafuate, ajabu wewe unaonekana huwaamini Chadema kuongoza nchi, lakini bado unawapa jukumu la kuwakomboa watanzania kifikra!.

By the way, hayo mambo ya kiroho hiyo sio kazi ya Chadema, yapeleke kwa viongozi wa dini, unaonekana hata wewe bado hujakomaa kifikra, na ni miongoni mwa wale unaotaka wakombolewe!.
 
Ajabu unaipa Chadema jukumu la serikali, unataka iwakomboe watu kifikra kwa njia ipi? kwa nyenzo zipi walizonazo?

Ili hayo yafanyike, sharti kwanza muwape serikali, wawe na nyenzo ndio na mengine yafuate, ajabu wewe unaonekana huwaamini Chadema kuongoza nchi, lakini bado unawapa jukumu la kuwakomboa watanzania kifikra!.
Mkuu wanasiasa wa Africa usiwape dhamana maana wanajifikiria wao kuliko wananchi Kuna Mbunge wa CHADEMA mwaka 2015 nilimuingiza Bungeni na nilimuambia Mimi sihitaji pesa yako lakini ukimaliza kuapa tutengeneze mfumo wa kuanzisha miradi midogo midogo ili kutoa Ajira kwa vijana kwa wingi lakini Jamaa alikataa wakati I spent a lot of my money kuhakikisha anapata ubunge na kurinda kula Usiku na mchana


So Jamaa alihamia dsm akajenga ghorofa na akasema haitaji siasa Tena it all about fucking mind in most Africans Politicians.
 
View attachment 2545744

Taarifa iliyosambazwa na Chama hicho , inaeleza kwamba leo Tarehe 11/3/2023 , Kutafanyika hafla fupi ya kupokea wanachama wapya .

Shughuli hiyo ya dharula itafanyika kwenye Ukumbi wa Garden , Makumbusho , DSM na baadaye Wanachama hao wapya watapokelewa na Mwenyekiti wa Chama hicho kwenye Makao Makuu ya Chama hicho huko Kinondoni , Mkoani Dar es Salaam .

Bado haijafahamika Majina ya Wanachama hao wapya wala sababu hasa za Wanachama hao kupokelewa kwenye Ukumbi Maalum .

Usiondoke JF .
Padri hatakosekana humu
 
Mkuu wanasiasa wa Africa usiwape dhamana maana wanajifikiria wao kuliko wananchi Kuna Mbunge wa CHADEMA mwaka 2015 nilimuingiza Bungeni na nilimuambia Mimi sihitaji pesa yako lakini ukimaliza kuapa tutengeneze mfumo wa kuanzisha miradi midogo midogo ili kutoa Ajira kwa vijana kwa wingi lakini Jamaa alikataa wakati I spent a lot of my money kuhakikisha anapata ubunge na kurinda kula Usiku na mchana


So Jamaa alihamia dsm akajenga ghorofa na akasema haitaji siasa Tena it all about fucking mind in most Africans Politicians.
Unaamini kabisa ni wewe pekee ndie ulimpeleka bungeni huyo jamaa wa CDM? come on!.

Anyway, whatever alikufanyia, haiwezi kuwa kielelezo cha wengine wote, kila mtu na tabia yake.
 
View attachment 2545744

Taarifa iliyosambazwa na Chama hicho , inaeleza kwamba leo Tarehe 11/3/2023 , Kutafanyika hafla fupi ya kupokea wanachama wapya .

Shughuli hiyo ya dharula itafanyika kwenye Ukumbi wa Garden , Makumbusho , DSM na baadaye Wanachama hao wapya watapokelewa na Mwenyekiti wa Chama hicho kwenye Makao Makuu ya Chama hicho huko Kinondoni , Mkoani Dar es Salaam .

Bado haijafahamika Majina ya Wanachama hao wapya wala sababu hasa za Wanachama hao kupokelewa kwenye Ukumbi Maalum .

Usiondoke JF .
Chama cha Walamba asali!
 
Back
Top Bottom