johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mwanachama mpya wa CHADEMA mh Kambaya amesema hakuna Chama Cha Siasa kinachoshughulika na maisha ya mtu baada ya kufa vyote vinashughulika na mambo ya kidunia tu
Kambaya alikuwa anawaelimisha Wananchi Wenye asili ya Pwani ya Pwani na Pwani ya bara ambao wanaweza kushangaza Kwanini amejiunga Chadema
Kambaya amesisitiza hakuna Chama Cha Siasa cha Wakristo au cha Waislamu kwa sababu havitupeleki peponi
Source: Ukurasa wa Chadema twitter
Kambaya alikuwa anawaelimisha Wananchi Wenye asili ya Pwani ya Pwani na Pwani ya bara ambao wanaweza kushangaza Kwanini amejiunga Chadema
Kambaya amesisitiza hakuna Chama Cha Siasa cha Wakristo au cha Waislamu kwa sababu havitupeleki peponi
Source: Ukurasa wa Chadema twitter