Abdul Kambaya na wanachama kadhaa kutoka CUF wajiunga CHADEMA na kupokelewa na Freeman Mbowe

Abdul Kambaya na wanachama kadhaa kutoka CUF wajiunga CHADEMA na kupokelewa na Freeman Mbowe

Mwanachama mpya wa CHADEMA mh Kambaya amesema hakuna Chama Cha Siasa kinachoshughulika na maisha ya mtu baada ya kufa vyote vinashughulika na mambo ya kidunia tu

Kambaya alikuwa anawaelimisha Wananchi Wenye asili ya Pwani ya Pwani na Pwani ya bara ambao wanaweza kushangaza Kwanini amejiunga Chadema

Kambaya amesisitiza hakuna Chama Cha Siasa cha Wakristo au cha Waislamu kwa sababu havitupeleki peponi

Source: Ukurasa wa Chadema twitter
 
Mwanachama mpya wa Chadema mh Kambaya amesema hakuna Chama Cha Siasa kinachoshughulika na maisha ya mtu baada ya kufa vyote vinashughulika na mambo ya kidunia tu

Kambaya alikuwa anawaelimisha Wananchi Wenye asili ya Pwani ya Pwani na Pwani ya bara ambao wanaweza kushangaza Kwanini amejiunga Chadema

Kambaya amesisitiza hakuna Chama Cha Siasa cha Wakristo au cha Waislamu kwa sababu havitupeleki peponi

Source: Ukurasa wa Chadema twitter
Yuko sahihi 100% maana wengine wanaingiza mambo ya imani kwenye vyama vya siasa.
 
Kumekucha mamia ya wana CUF wanapotimkia CDM haijulikani mwenye chama yuko wapi.

View attachment 2545995

Alifanya mkutano mmoja Magomeni. Hatukupata mrejesho wa nini kilijiri.

Ikasemekana waziwazi bila kumtaja Lissu au CDM Prof hana wa kumsikiliza.

Apewe pole Profesa Lipumba anapoelekea kumfanana mzee mapesa.

-------
Source: Mwananchi

Wanachama 384 wajiengua CUF, wajiunga Chadema
Wanaenda kwa kazi maalumu ya kukifanya CDM kiwe kama CUF kwa sasa huo ndio mkakati jadidifu uliopo kwenye draft ya utekelezaji.
 
Hiki chama tangu kiundwe upya 2019/2020 kwa wenye Chama kuchukua madaraka baada ya wahamiaji kushindwa mipango yao miovu, niliwaona hawa jamaa kweli wana nia njema sana. Hata sasa imethibitika kitakuja kuleta mabadiliko makubwa. Kwa kuwapata hawa CUF maanda yake watafumua nchi nzima na kuweka network mpya na hakika kitasonga mbele sana.

Sent from my SM-G977B using JamiiForums mobile app
 
U
Hiki chama tangu kiundwe upya 2019/2020 kwa wenye Chama kuchukua madaraka baada ya wahamiaji kushindwa mipango yao miovu, niliwaona hawa jamaa kweli wana nia njema sana. Hata sasa imethibitika kitakuja kuleta mabadiliko makubwa. Kwa kuwapata hawa CUF maanda yake watafumua nchi nzima na kuweka network mpya na hakika kitasonga mbele sana.

Sent from my SM-G977B using JamiiForums mobile app
UKo sahihi. Chama kilichosavaivu sunami ya 2019 na 2020 is not a joke.
 
Wakitokea hapo wanakwenda CCM
Mkuu ukiangalia kwa makini wanasiasa hawa wana projection za miaka 3 mbele. Mimi bado naamini kwamba,
CUF kwa baadhi ya maeneo ipo miyooni mwa watu ila imekosa viongozi, hivyo wanachama (wanasiasa) ambao wanahama Chama wanaona wanaweza kuchaguliwa na wananchi hao(kwa maana wanachama wenzao wa CUF na wanachama wa chama wanachohamia) kwenye Uchaguzi Mkuu na hivyo kuwa Madiwani ama Wabunge. Hizi ndizo karata ambazo wana Siasa wanazicheza.
 
Mbowe anataka aendelee na uenyekiti

Sisi tunamtaka Tundu Lisu
Mkuu ngoja kwanza waTZ tujifunze na kuziijua Sheria za Nchi; Huyo Ndugu naye anafa sana ila inabidi tujiandae kwenye kutenda shughuli zetu za kila siku kwa mujibu wa Sheria. Au wewe unaonaje maana inawezekana wewe umejiandaa lakini walio wengi bado. Huyo umtakaye akipata bodaboda itapakia mtu mmoja na heremet; ma V8 hutayaona, ufisadi utakoma; kwa ujumla kila mtu walau atakula keki ya Taifa.
 
Mkuu wanasiasa wa Africa usiwape dhamana maana wanajifikiria wao kuliko wananchi Kuna Mbunge wa CHADEMA mwaka 2015 nilimuingiza Bungeni na nilimuambia Mimi sihitaji pesa yako lakini ukimaliza kuapa tutengeneze mfumo wa kuanzisha miradi midogo midogo ili kutoa Ajira kwa vijana kwa wingi lakini Jamaa alikataa wakati I spent a lot of my money kuhakikisha anapata ubunge na kurinda kula Usiku na mchana


So Jamaa alihamia dsm akajenga ghorofa na akasema haitaji siasa Tena it all about fucking mind in most Africans Politicians.
Tena kama hawa jamaa wenye bendera ya rangi nyekundu ndio hatari, wanawaza tu kujenga mahoteli na kupeleka familia zao ughaibuni. Wengine mnasmbiwa tu kazi zenu laana
 
Back
Top Bottom