Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
"Special Treatment" huwa si kitu cha kudumu!!Alipewa special treatment
Hakuna kitu kama hicho!!Kamati Kuu ya Chadema ilimpelekea Kadi nyumbani Kwake Masaki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Special Treatment" huwa si kitu cha kudumu!!Alipewa special treatment
Hakuna kitu kama hicho!!Kamati Kuu ya Chadema ilimpelekea Kadi nyumbani Kwake Masaki
Shida yako uongo umeufanya ni sehemu ya maisha yako.Kamati Kuu ya Chadema ilimpelekea Kadi nyumbani Kwake Masaki
Mbona kama una vidonda vya tumbo sauti haitoki!Shida yako uongo umeufanya ni sehemu ya maisha yako.
Lakini Jo kumbuka kuwa UONGO una hadhi sawa na yafuatayo;
*Wizi
*Uuaji
*Ukahaba
Na dhambi zote za aina hiyo. Tubu bado ungali na nafasi.
Kazi mnayo kuwachafua na kuwasafisha!Kambaya ni zaidi ya Lowassa maana ni mpinzani. Lowassa alikua ni tapeli la kisiasa.
Sasa Mbowe, Baregu, Dr Slaa, Mzee Mtei na Mzee Ndesamburo walipeleka nini pale Masaki?Shida yako uongo umeufanya ni sehemu ya maisha yako.
Lakini Jo kumbuka kuwa UONGO una hadhi sawa na yafuatayo;
*Wizi
*Uuaji
*Ukahaba
Na dhambi zote za aina hiyo. Tubu bado ungali na nafasi.
CCM ilimpokea tena akiwaje? Mchafu ama msafi?Kazi mnayo kuwachafua na kuwasafisha!
Leo wamekubadilishia "Sausage" wanazokupa kila siku nini?? Au asubuhi yote hii ushapiga Yohana Mtembezi!!??Sasa Mbowe, Baregu, Dr Slaa, Mzee Mtei na Mzee Ndesamburo walipeleka nini pale Masaki?
Hili swali ni la kiwango cha juu hawezi kujibu.CCM ilimpokea tena akiwaje? Mchafu ama msafi?
Komba: CCM ni kokoroHili swali ni la kiwango cha juu hawezi kujibu.
Ni kama umemuuliza nini kilitangulia kati ya kuku au yai?
Acha kupoteza vijana. Mtu aliyesema kwamba CCM imekuwa kama Kokoro kuzoa kila aina ya watu, ni Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.Komba: CCM ni kokoro
Kwahiyo hilo siyo swali kwa mwanaccm!
Hata chogola anapokea upupu tunaona sanaNi Ukweli'mchungu
Kambaya aliyetimuliwa CUF alitakiwa kupokelewa na akina Benson au John Mrema lakini siyo Mwenyekiti Mzee Mbowe
Hii inaonesha viwango vya Chadema kwenye siasa za Upinzani vimeshuka sana
Mlale unono!
Nini kimekuumuza sasa hapoKambaya kakabidhiwa Kanda maalumu ya " Mwambao wa Pwani" Tanga hadi Mtwara [emoji2956][emoji2956]
TunapongezanaNini kimekuumuza sasa hapo
Ni Ukweli'mchungu
Kambaya aliyetimuliwa CUF alitakiwa kupokelewa na akina Benson au John Mrema lakini siyo Mwenyekiti Mzee Mbowe
Hii inaonesha viwango vya Chadema kwenye siasa za Upinzani vimeshuka sana
Mlale unono!
Atakapo mpokea Mizengo Pinda sijui utasemaje maana mawaziri wakuu wenu wastaafu wana kawaida ya kuzira na kukimbilia CHADEMA.Ni Ukweli'mchungu
Kambaya aliyetimuliwa CUF alitakiwa kupokelewa na akina Benson au John Mrema lakini siyo Mwenyekiti Mzee Mbowe
Hii inaonesha viwango vya Chadema kwenye siasa za Upinzani vimeshuka sana
Mlale unono!
Safari hii Mbowe Ndio kapokelewa pale IkuluAtakapo mpokea Mizengo Pinda sijui utasemaje maana mawaziri wakuu wenu wastaafu wana kawaida ya kuzira na kukimbilia CHADEMA.
Na Samia alipokelewa Kuringe hall kule kwa mwenye chama Mzee MteiSafari hii Mbowe Ndio kapokelewa pale Ikulu
Na akina mama wa Chadema 😄😄Na Samia alipokelewa Kuringe hall kule kwa mwenye chama Mzee Mtei
An observation of low resource people. Pole sana.Duh...!.
P