Dawa ya Uvccm
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 2,223
- 4,717
Mama yenu toka awe Mwenyekiti wa mchonga aliyechaguliwa kupitia form moja amebaki kuzurura huku chama chake kikimfia huku watetezi wake ni UVCCM na sukuma gang baada ya kukataliwa na vyama vyenye akili.Ni Ukweli'mchungu
Kambaya aliyetimuliwa CUF alitakiwa kupokea na akina Benson au John Mrema lakini siyo Mwenyekiti Mzee Mbowe
Hii inaonesha viwango vya Chadema kwenye siasa za Upinzani vimeshuka sana
Mlale unono!