Abdul Kambaya na wanachama kadhaa kutoka CUF wajiunga CHADEMA na kupokelewa na Freeman Mbowe

Abdul Kambaya na wanachama kadhaa kutoka CUF wajiunga CHADEMA na kupokelewa na Freeman Mbowe

Mkuu wanasiasa wa Africa usiwape dhamana maana wanajifikiria wao kuliko wananchi Kuna Mbunge wa CHADEMA mwaka 2015 nilimuingiza Bungeni na nilimuambia Mimi sihitaji pesa yako lakini ukimaliza kuapa tutengeneze mfumo wa kuanzisha miradi midogo midogo ili kutoa Ajira kwa vijana kwa wingi lakini Jamaa alikataa wakati I spent a lot of my money kuhakikisha anapata ubunge na kurinda kula Usiku na mchana


So Jamaa alihamia dsm akajenga ghorofa na akasema haitaji siasa Tena it all about fucking mind in most Africans Politicians.
Mwongo mwepesi, hiyo pesa yako si itumie kuanzisha?

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Kumekucha mamia ya wana CUF wanapotimkia CDM haijulikani mwenye chama yuko wapi.

Screenshot_20230311-135450.jpg


Alifanya mkutano mmoja Magomeni. Hatukupata mrejesho wa nini kilijiri.

Ikasemekana waziwazi bila kumtaja Lissu au CDM Prof hana wa kumsikiliza.

Apewe pole Profesa Lipumba anapoelekea kumfanana mzee mapesa.

-------
Source: Mwananchi

Wanachama 384 wajiengua CUF, wajiunga Chadema
 
Back
Top Bottom