Ujamaa ni mhimu
JF-Expert Member
- Sep 30, 2022
- 1,203
- 1,011
Ongezea na wale tuliokabidhiwa siku ya akina mama kule moshi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ongezea na wale tuliokabidhiwa siku ya akina mama kule moshi
Ongezea na wale tuliokabidhiwa siku ya akina mama kule moshi
Na Ile iliyokabidhiwa siku ya wamama umeitoaTuko 8m+ tulisubiri la mgambo tu. Mbona tosha sana? Vishindo vya wakoma viliwakimbiza washami:
CHADEMA Nyomi si Habari Tena, Tujidhatiti kumaliza Mchecho
Na Ile iliyokabidhiwa siku ya wamama umeitoa
CCM sasa hivi hawana hela ya kuwanunua wapinzaniWaje CCM tuuuu
Kwahiyo alikabidhiwa Bure .Mama hafanyi biashara za watu kama mzilankende?
Ila tunakabidhiwa Bure kama tarehe naneeCCM sasa hivi hawana hela ya kuwanunua wapinzani
Umekaririshwa maneno bila hata kujua tafsiri yakeSiasa ni Sayansi atawapateni Matutusa kama akina Mshana jr!
Kwani akiombwa akataeHuo mchezo anaucheza Freeman ili aonekane anafanya jambo kubwa kwenye Maridhiano
Unaudhi sanaHuo mchezo anaucheza Freeman ili aonekane anafanya jambo kubwa kwenye Maridhiano
Wewe na nani?Mbowe anataka aendelee na uenyekiti
Sisi tunamtaka Tundu Lisu
Wanachama wa CUF bei yao ni karibu na bure!Umekaririshwa maneno bila hata kujua tafsiri yake
Ni Ukweli'mchungu
Kambaya aliyetimuliwa CUF alitakiwa kupokea na akina Benson au John Mrema lakini siyo Mwenyekiti Mzee Mbowe
Hii inaonesha viwango vya Chadema kwenye siasa za Upinzani vimeshuka sana
Mlale unono!
Alipewa special treatmentWanachama wote wa CHADEMA wana hadhi sawa. Wewe ni kipi kinachokufanya uamini kwamba Lowassa ana hadhi ya juu kuliko Kambaya!!??
Na hilo buyu la asali mbona tunaiyona chadema ya john cheyo muda si mrefu!Ni Ukweli'mchungu
Kambaya aliyetimuliwa CUF alitakiwa kupokea na akina Benson au John Mrema lakini siyo Mwenyekiti Mzee Mbowe
Hii inaonesha viwango vya Chadema kwenye siasa za Upinzani vimeshuka sana
Mlale unono!
Na ikifika hapo wewe kama kipara kipya utafurahi au utakasirika?Na hilo buyu la asali mbona tunaiyona chadema ya john cheyo muda si mrefu!