Abdul Kambaya na wanachama kadhaa kutoka CUF wajiunga CHADEMA na kupokelewa na Freeman Mbowe

Hongera CDM kwa kupanua wigo!
 
Mwanasiasa nguli wa siku nyingi kwenye siasa za Upinzani mh Kambaya amejiunga na Chama Kikuu cha Upinzani Tanzania Bara Chadema

Source: Mwanahalisi Digital
 
Kazi ndiyo kwanza imeanza sasa.
Hapa chini ni baadhi ya wanachama wapya wakielekea ofisi kuu ya chadema kupitia Makumbusho.
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…