Hongera CDM kwa kupanua wigo!View attachment 2545744
Taarifa iliyosambazwa na Chama hicho , inaeleza kwamba leo Tarehe 11/3/2023 , Kutafanyika hafla fupi ya kupokea wanachama wapya .
Shughuli hiyo ya dharula itafanyika kwenye Ukumbi wa Garden , Makumbusho , DSM na baadaye Wanachama hao wapya watapokelewa na Mwenyekiti wa Chama hicho kwenye Makao Makuu ya Chama hicho huko Kinondoni , Mkoani Dar es Salaam .
Bado haijafahamika Majina ya Wanachama hao wapya wala sababu hasa za Wanachama hao kupokelewa kwenye Ukumbi Maalum .
Usiondoke JF .
huyo haaminiki kabisaaMwanasiasa nguli wa siku nyingi kwenye siasa za Upinzani mh Kambaya amejiunga na Chama Kikuu cha Upinzani Tanzania Bara Chadema
Source: Mwanahalisi Digital
Atakuwa ndiye Muenezi wa Chadema!Future ya Kambaya ilikuwa hurt big time na Lipumba.
Let him join the chain and make his dreams possible.
No Problem.. anastahili.Atakuwa ndiye Muenezi wa Chadema!
Mwanasiasa nguli wa siku nyingi kwenye siasa za Upinzani mh Kambaya amejiunga na Chama Kikuu cha Upinzani Tanzania Bara Chadema
Source: Mwanahalisi Digital
Liabillity huwa inaweza kugeuka na kuwa Asset.Huyo Ni liability
😄Huyo Ni liability
Umefurahiiii.
Ngoja tuoneLiabillity huwa inaweza kugeuka na kuwa Asset.
Wanatanua wigo? Nani katanua huo wigo nije niingizeHongera CDM kwa kupanua wigo!
Kwani Wigo ni nini?? Sio kila wakati tuwe tunawaza kama Kamanda Askari!!Wanatanua wigo? Nani katanua huo wigo nije niingize
Kamuulize ,komu na Joseph selesiniTuwe makini na akina Kambaya. Wanaweza wakawa virus.
Kazi ndiyo kwanza imeanza sasa.View attachment 2545744
Taarifa iliyosambazwa na Chama hicho , inaeleza kwamba leo Tarehe 11/3/2023 , Kutafanyika hafla fupi ya kupokea wanachama wapya .
Shughuli hiyo ya dharula itafanyika kwenye Ukumbi wa Garden , Makumbusho , DSM na baadaye Wanachama hao wapya watapokelewa na Mwenyekiti wa Chama hicho kwenye Makao Makuu ya Chama hicho huko Kinondoni , Mkoani Dar es Salaam .
Bado haijafahamika Majina ya Wanachama hao wapya wala sababu hasa za Wanachama hao kupokelewa kwenye Ukumbi Maalum .
Usiondoke JF .
==============
UPDATES : Zaidi ya wanachama 490 wa CUF wamejiunga na Chadema , Akiwemo Abdul Kambaya , ambaye alikuwa kiongozi Mwandamizi wa CUF .
Neno huwa na maana kulingana na jamii fulani. Wigo kwa sisi maana yake ni ukeKwani Wigo ni nini?? Sio kila wakati tuwe tunawaza kama Kamanda Askari!!
Kamuulize ,komu na Joseph selesini