johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Yuko sahihi 100% maana wengine wanaingiza mambo ya imani kwenye vyama vya siasa.Mwanachama mpya wa Chadema mh Kambaya amesema hakuna Chama Cha Siasa kinachoshughulika na maisha ya mtu baada ya kufa vyote vinashughulika na mambo ya kidunia tu
Kambaya alikuwa anawaelimisha Wananchi Wenye asili ya Pwani ya Pwani na Pwani ya bara ambao wanaweza kushangaza Kwanini amejiunga Chadema
Kambaya amesisitiza hakuna Chama Cha Siasa cha Wakristo au cha Waislamu kwa sababu havitupeleki peponi
Source: Ukurasa wa Chadema twitter
Wanahisi kajiunga na Wagalatia!Yuko sahihi 100% maana wengine wanaingiza mambo ya imani kwenye vyama vya siasa.
Aisee hiki chama tunapoelekea mtaniambia.Kumekucha mamia ya wana CUF wanapotimkia CDM haijulikani mwenye chama yuko wapi.
View attachment 2545995
Alifanya mkutano mmoja Magomeni. Hatukupata mrejesho wa nini kilijiri.
Ikasemekana waziwazi bila kumtaja Lissu au CDM Prof hana wa kumsikiliza.
Apewe pole Profesa Lipumba anapoelekea kumfanana mzee mapesa.
-------
Source: Mwananchi
Wanachama 384 wajiengua CUF, wajiunga Chadema
😅😅😅mpaka sasa wingi wa wafuai kwa Chadema sio issue tena. Tunaenda hatua ya pili.Ongezea na wale tuliokabidhiwa siku ya akina mama kule moshi
Wanaenda kwa kazi maalumu ya kukifanya CDM kiwe kama CUF kwa sasa huo ndio mkakati jadidifu uliopo kwenye draft ya utekelezaji.Kumekucha mamia ya wana CUF wanapotimkia CDM haijulikani mwenye chama yuko wapi.
View attachment 2545995
Alifanya mkutano mmoja Magomeni. Hatukupata mrejesho wa nini kilijiri.
Ikasemekana waziwazi bila kumtaja Lissu au CDM Prof hana wa kumsikiliza.
Apewe pole Profesa Lipumba anapoelekea kumfanana mzee mapesa.
-------
Source: Mwananchi
Wanachama 384 wajiengua CUF, wajiunga Chadema
😅😅😅mpaka sasa wingi wa wafuai kwa Chadema sio issue tena. Tunaenda hatua ya pili.h
Wanaenda kwa kazi maalumu ya kukifanya CDM kiwe kama CUF kwa sasa huo ndio mkakati jadidifu uliopo kwenye draft ya utekelezaji.
ambapo mamayenu alijiingiza kwenye chama kubwa chadema huku wapumbavu wa uvccm na sukuma gang hawajui kama wametelekezwa.Ila tunakabidhiwa Bure kama tarehe nanee
uvccm na sukuma gang ni mapumbavu lichama lenu linakufa mmekalia upumbavu.Wanaenda kwa kazi maalumu ya kukifanya CDM kiwe kama CUF kwa sasa huo ndio mkakati jadidifu uliopo kwenye draft ya utekelezaji.
😅😅kwani ccm ipo?uvccm na sukuma gang ni mapumbavu lichama lenu linakufa mmekalia upumbavu.
UKo sahihi. Chama kilichosavaivu sunami ya 2019 na 2020 is not a joke.Hiki chama tangu kiundwe upya 2019/2020 kwa wenye Chama kuchukua madaraka baada ya wahamiaji kushindwa mipango yao miovu, niliwaona hawa jamaa kweli wana nia njema sana. Hata sasa imethibitika kitakuja kuleta mabadiliko makubwa. Kwa kuwapata hawa CUF maanda yake watafumua nchi nzima na kuweka network mpya na hakika kitasonga mbele sana.
Sent from my SM-G977B using JamiiForums mobile app
Makabidhianoambapo mamayenu alijiingiza kwenye chama kubwa chadema huku wapumbavu wa uvccm na sukuma gang hawajui kama wametelekezwa.
Mkuu unaabisha seti za watu ulizo zaa. Hizo uniform zina hadhi yake. Jenga hoja.Maigizo yaliyofeli kabisa. Ama kweli chadema ni matahira
Mkuu ukiangalia kwa makini wanasiasa hawa wana projection za miaka 3 mbele. Mimi bado naamini kwamba,Wakitokea hapo wanakwenda CCM
Mkuu ngoja kwanza waTZ tujifunze na kuziijua Sheria za Nchi; Huyo Ndugu naye anafa sana ila inabidi tujiandae kwenye kutenda shughuli zetu za kila siku kwa mujibu wa Sheria. Au wewe unaonaje maana inawezekana wewe umejiandaa lakini walio wengi bado. Huyo umtakaye akipata bodaboda itapakia mtu mmoja na heremet; ma V8 hutayaona, ufisadi utakoma; kwa ujumla kila mtu walau atakula keki ya Taifa.Mbowe anataka aendelee na uenyekiti
Sisi tunamtaka Tundu Lisu
Tena kama hawa jamaa wenye bendera ya rangi nyekundu ndio hatari, wanawaza tu kujenga mahoteli na kupeleka familia zao ughaibuni. Wengine mnasmbiwa tu kazi zenu laanaMkuu wanasiasa wa Africa usiwape dhamana maana wanajifikiria wao kuliko wananchi Kuna Mbunge wa CHADEMA mwaka 2015 nilimuingiza Bungeni na nilimuambia Mimi sihitaji pesa yako lakini ukimaliza kuapa tutengeneze mfumo wa kuanzisha miradi midogo midogo ili kutoa Ajira kwa vijana kwa wingi lakini Jamaa alikataa wakati I spent a lot of my money kuhakikisha anapata ubunge na kurinda kula Usiku na mchana
So Jamaa alihamia dsm akajenga ghorofa na akasema haitaji siasa Tena it all about fucking mind in most Africans Politicians.