Abdul Kareem Popat ndio sababu hasa ya Azam FC Kukosa mafanikio

Malengo yao mengine kabisa, tofauti na unavyofikiri wewe. Hiyo ni team ya kampuni siyo kama simba na yanga.

Azzam inajiendesha kibiashara zaidi siyo kishabiki.
bora umemsaidia
 
Siyo kushuka tu kiwango umri pia umemtupa na ni injuries prone
 
Sawa amekuelewa tatizo ni Yanick Bangala
 
Inashangaza sana Popat haoni hili. Pili Bangala amehusishwa na migomo ya chini kwa chini ndani ya Klabu ya Yanga. Amekuwa akifanya hivyo kwa kushirikiana na Shaban Djuma. Na wachezaji hao wote wameonyeshwa mlango wa kutokea pale Jangwani.
Ewe uto acha makasiriko kwa Popat kwasabb kachukua wachezaji toka Yanga. Nadhani mlitaka kuwanyanyasa hao wachezaji kama mlivyofanya kwa Feisal Salum
 
Ewe uto acha makasiriko kwa Popat kwasabb kachukua wachezaji toka Yanga. Nadhani mlitaka kuwanyanyasa hao wachezaji kama mlivyofanya kwa Feisal Salum
Mimi sio Uto.
Chamazi Complex moja hii
 
Ungeandika haya maandishi kwa herufi kubwa au ungeyabold kabisa.
Mwekezaji mkubwa Simba ni Mo Dewji, viongozi wengine wakuu ni Kina try Again ambae ni muislam.
Jangwani mwekezaji mkubwa ni GSM na rais hersi na makamu arafat haji ni waislam.
Je napo kuna udini?
 
Huyu angeifaa Simba, Azam wameokota dhahabu
 
Mkurugenzi Mkuu wa Azam ni TIDO MUHANDO... Sio Muislam
Azam wanaajiri watu wa dini tofauti na hata wasio na dini na wapo nchi nyingi Afrika na nje ya Afrika.

Hakuna Muislam anaebaguwa asiye Muislam.

Hivi tukianza kuwabaguwa mtaujuwaje uzuri wa Uislam?
 
Ametangazwa lini kuwa amerudishwa uyo bigirimana? Atuwezi kufanyia kazi habari za kwenye vijiwe vya kahawa, kila mtu utayemuona Avic town anapita zake utamuhusisha na yanga?
Dogo rudi hapa utuambie zile habari za vijiweni zimekuwaje tena official
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…