Abdul kortini kwa mashtaka ya kubaka na kulawiti wanafunzi watano

Abdul kortini kwa mashtaka ya kubaka na kulawiti wanafunzi watano

jjackline

Senior Member
Joined
Jul 25, 2024
Posts
111
Reaction score
274

Mkazi wa Mtaa wa Kyamaizi, Kata ya Kahororo Manispaa ya Bukoba, Abdul Suleiman (30), amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya Bukoba akikabiliwa na kesi mbili za kuwabaka na kuwalawiti wanafunzi watano wa shule za msingi.

Kesi hizo zenye jumla ya mashtaka saba, zimesomwa jana Jumatano Agosti 14, 2024 mbele ya mahakimu wawili tofauti mahakamani hapo.

Kesi ya kwanza namba 22889/2024 imesikilizwa mbele ya Hakimu Mkazi, Frola Kaijage na mwendesha mashtaka, Wakili wa Serikali, Everester Kimaro.

Akimsomea mashtaka, Wakili Kimaro alidai kuwa kati ya Aprili na Julai, 2024, mshtakiwa alimbaka mwanafunzi wa darasa la tatu mwenye umri wa miaka tisa.

Mshtakiwa alikana tuhuma hizo, kesi imeahirishwa hadi Agosti 28, 2024 itakapoanza kusikilizwa baada ya upelelezi kukamilika.

Snapinsta.app_455472921_537361445384930_2695602975385178000_n_1080.jpg
 
Mkazi wa Mtaa wa Kyamaizi, Kata ya Kahororo Manispaa ya Bukoba, Abdul Suleiman (30), amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya Bukoba akikabiliwa na kesi mbili za kuwabaka na kuwalawiti wanafunzi watano wa shule za msingi.

Kesi hizo zenye jumla ya mashtaka saba, zimesomwa jana Jumatano Agosti 14, 2024 mbele ya mahakimu wawili tofauti mahakamani hapo.

Kesi ya kwanza namba 22889/2024 imesikilizwa mbele ya Hakimu Mkazi, Frola Kaijage na mwendesha mashtaka, Wakili wa Serikali, Everester Kimaro.

Akimsomea mashtaka, Wakili Kimaro alidai kuwa kati ya Aprili na Julai, 2024, mshtakiwa alimbaka mwanafunzi wa darasa la tatu mwenye umri wa miaka tisa.

Mshtakiwa alikana tuhuma hizo, kesi imeahirishwa hadi Agosti 28, 2024 itakapoanza kusikilizwa baada ya upelelezi kukamilika.

View attachment 3070850
Mwanafunzi wa darasa la tatu mwenye umri wa miaka tisa??????

Huyu apigwe 30x5=150. au akatwe kikojoleo kabisaa
Usimhukumu kwanza kabla ya kumsikiliza, huenda Kuna masuala ya visasi kwenye ishu kama hizi. You never know. Dunia ya sasa Ina mambo mengi sana.
 
Huyu apigwe 30x5=150. au akatwe kikojoleo kabisaa
Hivi vitu vina mambo mengi sanaaa, usiombe yakukute. Kuna dogo mmoja mtaani amekula nyundo 30 toka mwaka juzi kwa kesi kama hizi halafu baadae dogo aliyefanyiwa hivyo anakuja kusema ukweli kuwa aliyekuwa anamfanyia hivyo ni baba yake wa kambo. Watu wametamani kulia wakimkumbuka jamaa aliyehukumiwa
 
Mkazi wa Mtaa wa Kyamaizi, Kata ya Kahororo Manispaa ya Bukoba, Abdul Suleiman (30), amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya Bukoba akikabiliwa na kesi mbili za kuwabaka na kuwalawiti wanafunzi watano wa shule za msingi.
Nahisi interest katika habari hii ilikuwa katika jina! Wengi waliingia kwa shauku wakidhani ni Abdul yule Abdul😀
 
Hivi vitu vina mambo mengi sanaaa, usiombe yakukute. Kuna dogo mmoja mtaani amekula nyundo 30 toka mwaka juzi kwa kesi kama hizi halafu baadae dogo aliyefanyiwa hivyo anakuja kusema ukweli kuwa aliyekuwa anamfanyia hivyo ni baba yake wa kambo. Watu wametamani kulia wakimkumbuka jamaa aliyehukumiwa
Inamaana hukumu ikishapita hakuna namna ya kuitengua upya kama ya hiyo kesi ya mchongo?

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Mkazi wa Mtaa wa Kyamaizi, Kata ya Kahororo Manispaa ya Bukoba, Abdul Suleiman (30), amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya Bukoba akikabiliwa na kesi mbili za kuwabaka na kuwalawiti wanafunzi watano wa shule za msingi.

Kesi hizo zenye jumla ya mashtaka saba, zimesomwa jana Jumatano Agosti 14, 2024 mbele ya mahakimu wawili tofauti mahakamani hapo.

Kesi ya kwanza namba 22889/2024 imesikilizwa mbele ya Hakimu Mkazi, Frola Kaijage na mwendesha mashtaka, Wakili wa Serikali, Everester Kimaro.

Akimsomea mashtaka, Wakili Kimaro alidai kuwa kati ya Aprili na Julai, 2024, mshtakiwa alimbaka mwanafunzi wa darasa la tatu mwenye umri wa miaka tisa.

Mshtakiwa alikana tuhuma hizo, kesi imeahirishwa hadi Agosti 28, 2024 itakapoanza kusikilizwa baada ya upelelezi kukamilika.

View attachment 3070850
Vijana dini ya haki
 
Mkazi wa Mtaa wa Kyamaizi, Kata ya Kahororo Manispaa ya Bukoba, Abdul Suleiman (30), amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya Bukoba akikabiliwa na kesi mbili za kuwabaka na kuwalawiti wanafunzi watano wa shule za msingi.
Wale wa afande wameishia wapi
 
Back
Top Bottom