Pre GE2025 Abdul Mluya: Sisi tulishapigwa, kama CHADEMA wanataka maandamano wajipange na familia zao mbele wapate ladha yake

Pre GE2025 Abdul Mluya: Sisi tulishapigwa, kama CHADEMA wanataka maandamano wajipange na familia zao mbele wapate ladha yake

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mwenyekiti wa Umoja Umoja wa Vyama vya Siasa ni Katibu Mkuu wa Chama Cha DP, Abdul Mluya amasema wao wanayafahamu maandamano kwani wao walishapigwa ila kama CHADEMA wanataka maandamano basi wajipange na familia zao mbele, pamoja na wake zao, watoto, wajomba, shangazi waingie barabarani wapate ladha hiyo (ya kupigwa) ili kesho waone huruma wa kuwaingiza watanzania wenye wali duni wakapate majeraha na kushindwa kufanya shughuli zao.

==

Pia soma: Umoja wa Vyama vya Siasa: Hatukubaliani na Maandamano ya CHADEMA, walijitenga nasi, sasa hivi wanatushirikisha

Kama yeye alishapigwa basi atuachie sisi ambao hatujawahi kupigwa .... it's our time!!
 
Mbona sisim inatumia nguvu kubwa sana kuzuia maandamano na wakat huo wanajinadi kua chadema imekufa sasa km imekufa why inawanyima raha na amani
 

Mwenyekiti wa Umoja Umoja wa Vyama vya Siasa ni Katibu Mkuu wa Chama Cha DP, Abdul Mluya amasema wao wanayafahamu maandamano kwani wao walishapigwa ila kama CHADEMA wanataka maandamano basi wajipange na familia zao mbele, pamoja na wake zao, watoto, wajomba, shangazi waingie barabarani wapate ladha hiyo (ya kupigwa) ili kesho waone huruma wa kuwaingiza watanzania wenye wali duni wakapate majeraha na kushindwa kufanya shughuli zao.

==

Pia soma: Umoja wa Vyama vya Siasa: Hatukubaliani na Maandamano ya CHADEMA, walijitenga nasi, sasa hivi wanatushirikisha
Huyu ni takataka tu
 

Mwenyekiti wa Umoja Umoja wa Vyama vya Siasa ni Katibu Mkuu wa Chama Cha DP, Abdul Mluya amasema wao wanayafahamu maandamano kwani wao walishapigwa ila kama CHADEMA wanataka maandamano basi wajipange na familia zao mbele, pamoja na wake zao, watoto, wajomba, shangazi waingie barabarani wapate ladha hiyo (ya kupigwa) ili kesho waone huruma wa kuwaingiza watanzania wenye wali duni wakapate majeraha na kushindwa kufanya shughuli zao.

==

Pia soma: Umoja wa Vyama vya Siasa: Hatukubaliani na Maandamano ya CHADEMA, walijitenga nasi, sasa hivi wanatushirikisha
Hivi huyu alikuwepo wakati wa DP ya marehemu Christopher Mtikila? Huyu anadhani anatetea serikali kwa kusema kuwa itawapiga wale watakao andama kwa amani kama ambavyo Kitaba inavyo waruhusu? Haaoni kuwa anaichafua serikali kwa kusema kuwa ni ya kionezi na inapiga na kuwaumiza raia wake ambao hawaiungi mkono?

Amandla...
 

Mwenyekiti wa Umoja Umoja wa Vyama vya Siasa ni Katibu Mkuu wa Chama Cha DP, Abdul Mluya amasema wao wanayafahamu maandamano kwani wao walishapigwa ila kama CHADEMA wanataka maandamano basi wajipange na familia zao mbele, pamoja na wake zao, watoto, wajomba, shangazi waingie barabarani wapate ladha hiyo (ya kupigwa) ili kesho waone huruma wa kuwaingiza watanzania wenye wali duni wakapate majeraha na kushindwa kufanya shughuli zao.

==

Pia soma: Umoja wa Vyama vya Siasa: Hatukubaliani na Maandamano ya CHADEMA, walijitenga nasi, sasa hivi wanatushirikisha
VIP Bado wapo Hawa waganga njaaaaaa
 
Back
Top Bottom