Abdul ni mtu muungwana sana

Abdul ni mtu muungwana sana

dr namugari

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
10,466
Reaction score
18,206
Hii kauli ya wenje naipenda sna ni kauli yenye kutueleza ukweli wa jambo na Watu walipokee
kwa mikono miwili

Mtoto pendwa wa rais ni mtu muungwana San ana ushawishi ndani ya serikali na ndani ya chama. Hivyo basi mm naungana na ndugu wenje kuwa Abduli alikuwa na lengo jema kumsadia ndugu yetu lissu na hata hvyo Lissu akaweka ahadi kuwa endapo Abduli atalifanikisha hili basi atakuwa rafik wake, hivyo mimi naona kbsa lisu anacho taka ni pesa zake tu Wal hana anachotaka katk uwenyekiti, kwamba lisu angepewa pesa zake na Abdul maan yake ni kwamba kelele hz za rushwa ndani ya chadema tusingesikia ila sas kelele hzi tunazosikia kwa sababu tu kuwa lisu hajalipwa na hajapewa pesa zake na Abduli Hassan

Hvyo basi ni vyema watanzAnia tumuelewe lisu hitaji lake la kupewa pesa zake na Abdul na siyo kitu kingine

Ushauri wangu wa kak etu Abdul ni huu hapa wa kuendelea kuwa muungwana kwa watu wote bila kujali itikadi za siasa, Dini. Kwa Mujibu wa mwenyeki kanda ya Victoria ni kuwa Abdul ni mtu muungwana sana

Nawazilisha kwa sas safarini kuelekea mabibo DSM
0759067712
 
Hii kauli ya wenje naipenda sna ni kauli yenye kuteleza ukweli wa jambo na Watu walipokeaa kwa mikono miwili

Mtoto pendwa wa rais ni mtu muungwana San ana ushawishi ndani ya serikali na ndanj ya chama. Hvyo mm naungana na ndugu wenje kuwa abduli alikuwa na lengo jema kumsadia ndugu yetu lissu na hata hvyo lissu akaweka a hadi kuwa endapo abduli atalifanikisha hili basi atakuwa rafik wake, hvyo mm naona kbsa lisu anacho taka ni pesa zake tu Wal hana anachotaka katk uwenyekiti, kwamba lisu angepewa pesa zake na Abdul maan yake ni kwamba kelele hz za rushwa ndani ya chadema tusingesikia ila sas kelele hzi tunazosikia kwa sababu tu kuwa lisu hajalipwa na hajapewa pesa zake na Abduli Hassan


Hvyo basi ni vyema watanzAnia tumuelewe lisu hitaji lake la kupewa pesa zake na Abdul na siyo kitu kingine

Ushauri wangu wa kak etu Abdul ni huu hapa wa kuendeleea kuwa muungwana kwa watu wote bila kujali itikadi za siasa, Dini. Kwa. Mujibu wa mwenyeki kanda ya Victoria ni kuwa Abdul ni mtu muungwana sna

Nawailisha kwa sas safarini kuelekea mabibo DSM
0759067712
Muungwana hatoi rushwa.
 
Hii kauli ya wenje naipenda sna ni kauli yenye kuteleza ukweli wa jambo na Watu walipokeaa kwa mikono miwili

Mtoto pendwa wa rais ni mtu muungwana San ana ushawishi ndani ya serikali na ndanj ya chama. Hvyo mm naungana na ndugu wenje kuwa abduli alikuwa na lengo jema kumsadia ndugu yetu lissu na hata hvyo lissu akaweka a hadi kuwa endapo abduli atalifanikisha hili basi atakuwa rafik wake, hvyo mm naona kbsa lisu anacho taka ni pesa zake tu Wal hana anachotaka katk uwenyekiti, kwamba lisu angepewa pesa zake na Abdul maan yake ni kwamba kelele hz za rushwa ndani ya chadema tusingesikia ila sas kelele hzi tunazosikia kwa sababu tu kuwa lisu hajalipwa na hajapewa pesa zake na Abduli Hassan


Hvyo basi ni vyema watanzAnia tumuelewe lisu hitaji lake la kupewa pesa zake na Abdul na siyo kitu kingine

Ushauri wangu wa kak etu Abdul ni huu hapa wa kuendeleea kuwa muungwana kwa watu wote bila kujali itikadi za siasa, Dini. Kwa. Mujibu wa mwenyeki kanda ya Victoria ni kuwa Abdul ni mtu muungwana sna

Nawailisha kwa sas safarini kuelekea mabibo DSM
0759067712

Fortilo na kundi zima la chawa wa mwamba huu wito unawahusu sana.

Au nasema uongo?
 
Mwenye namba za abdul tafadhali ,Nataka nimkope
 
Fortilo na kundi zima la chawa wa mwamba huu wito unawahusu sana.

Au nasema uongo?
Wanaharakati wanahaha sana, maji ya shingo..

Vyama vya siasa inabidi iondokane na wanachama wenye mchango mdogo sana kwenye vyama vyao.. na hii ndio ilisababisha vikafa, kama kile cha Mtikila...

Sauti ua Watanzania wanataka waendeshe siasa za CDM kwa Club house..

Hoja za sijui Abduli na Tundu Lissu ni hoja mufilisi sana..

Ogopa sana presidential material na President in waiting kushindwa ku raise Milioni 30.

Hapendwi na aaminiki na wenye uwezo
 
Wanaharakati wanahaha sana, maji ya shingo..

Vyama vya siasa inabidi iondokane na wanachama wenye mchango mdogo sana kwenye vyama vyao.. na hii ndio ilisababisha vikafa, kama kile cha Mtikila...

Sauti ua Watanzania wanataka waendeshe siasa za CDM kwa Club house..

Hoja za sijui Abduli na Tundu Lissu ni hoja mufilisi sana..

Ogopa sana presidential material na President in waiting kushindwa ku raise Milioni 30.

Hapendwi na aaminiki na wenye uwezo
Inafikirisha sna makamu mwenye kitu anapazwa kuwa na milion 30 lkn had sas hakuna alicho peleka
 
Wanaharakati wanahaha sana, maji ya shingo..

Vyama vya siasa inabidi iondokane na wanachama wenye mchango mdogo sana kwenye vyama vyao.. na hii ndio ilisababisha vikafa, kama kile cha Mtikila...

Sauti ua Watanzania wanataka waendeshe siasa za CDM kwa Club house..

Hoja za sijui Abduli na Tundu Lissu ni hoja mufilisi sana..

Ogopa sana presidential material na President in waiting kushindwa ku raise Milioni 30.

Hapendwi na aaminiki na wenye uwezo

Kwani huyu si mwenzenu?

GfuZZOtbEAALNeE.jpeg
 
Inafikirisha sna makamu mwenye kitu anapazwa kuwa na milion 30 lkn had sas hakuna alicho peleka
Wenje anasema hata ndururu.
Kwenye ubunge wake toka 2015 -2017 Aug hakuwa amepeleka hata kumi kama mchango wa kuendesha chama...

Wanaomshabikia hawana nia njema na CDM
 
Wenje anasema hata ndururu.
Kwenye ubunge wake toka 2015 -2017 Aug hakuwa amepeleka hata kumi kama mchango wa kuendesha chama...

Wanaomshabikia hawana nia njema na CDM
Mtu lisu mmbishi mbinafsi San wa nampigia kelele awe mwenyekiti wkt pesa za kumchangia chama hatoi wal hajawai toa

Mm huyu akiwa wenyekiti wetu nahama cham siku hyo hyo
 
Mtu lisu mmbishi mbinafsi San wa nampigia kelele awe mwenyekiti wkt pesa za kumchangia chama hatoi wal hajawai toa

Mm huyu akiwa wenyekiti wetu nahama cham siku hyo hyo
Anasema ana mdomo mpana, ila cha mfukoni hatoi hata ndururu🤣

Utajenga chama na mdomo
 
Back
Top Bottom