Abdul ni mtu muungwana sana

Abdul ni mtu muungwana sana

Hivi ndo inapaswa mtoto wa rais kuwa sio mtoto wa rais unapoaaa kiasi kwamba mzee au maza akimaliza uongozi na wew kwisha...!
 
Hivi ndo inapaswa mtoto wa rais kuwa sio mtoto wa rais unapoaaa kiasi kwamba mzee au maza akimaliza uongozi na wew kwisha...!
Kama watoto wa magu hawa kuwa na heka heka kama hz za kina Abdul
 
Anasema ana mdomo mpana, ila cha mfukoni hatoi hata ndururu🤣

Utajenga chama na mdomo

Mtakapokifikisha hiki chama huku:

GfuY-ekXQAAK7pI.jpeg


Msikimbie ID zenu.

Bila shaka mnadhani ruzuku na matoleo wa watu ni kutokea mfukoni mwenu.
 
Kama watoto wa magu hawa kuwa na heka heka kama hz za kina Abdul
Yani hizi heka heka ndo zinatakiwaa..! unaona kina rizi wapo bungeni usikae kichovuu...mwak 2025 unakuta vijana wa magu hakuna hata mmoja atagombea ubunge sasa unawasaidiaje hapo.
 
Hii kauli ya wenje naipenda sna ni kauli yenye kutueleza ukweli wa jambo na Watu walipokee
kwa mikono miwili

Mtoto pendwa wa rais ni mtu muungwana San ana ushawishi ndani ya serikali na ndani ya chama. Hvyo basi mm naungana na ndugu wenje kuwa Abduli alikuwa na lengo jema kumsadia ndugu yetu lissu na hata hvyo lissu akaweka ahadi kuwa endapo Abduli atalifanikisha hili basi atakuwa rafik wake, hvyo mm naona kbsa lisu anacho taka ni pesa zake tu Wal hana anachotaka katk uwenyekiti, kwamba lisu angepewa pesa zake na Abdul maan yake ni kwamba kelele hz za rushwa ndani ya chadema tusingesikia ila sas kelele hzi tunazosikia kwa sababu tu kuwa lisu hajalipwa na hajapewa pesa zake na Abduli Hassan


Hvyo basi ni vyema watanzAnia tumuelewe lisu hitaji lake la kupewa pesa zake na Abdul na siyo kitu kingine

Ushauri wangu wa kak etu Abdul ni huu hapa wa kuendelea kuwa muungwana kwa watu wote bila kujali itikadi za siasa, Dini. Kwa Mujibu wa mwenyeki kanda ya Victoria ni kuwa Abdul ni mtu muungwana sana

Nawazilisha kwa sas safarini kuelekea mabibo DSM
0759067712
Subiri teuzi za viti maalimu maana namba yako tunayo.
 
Yani hizi heka heka ndo zinatakiwaa..! unaona kina rizi wapo bungeni usikae kichovuu...mwak 2025 unakuta vijana wa magu hakuna hata mmoja atagombea ubunge sasa unawasaidiaje hapo.
Uko real sna and clear hii comments yako nitaanzishia uzi😂
 
Back
Top Bottom