Abdul ni mtu muungwana sana

Hivi ndo inapaswa mtoto wa rais kuwa sio mtoto wa rais unapoaaa kiasi kwamba mzee au maza akimaliza uongozi na wew kwisha...!
 
Hivi ndo inapaswa mtoto wa rais kuwa sio mtoto wa rais unapoaaa kiasi kwamba mzee au maza akimaliza uongozi na wew kwisha...!
Kama watoto wa magu hawa kuwa na heka heka kama hz za kina Abdul
 
Anasema ana mdomo mpana, ila cha mfukoni hatoi hata ndururu🤣

Utajenga chama na mdomo

Mtakapokifikisha hiki chama huku:



Msikimbie ID zenu.

Bila shaka mnadhani ruzuku na matoleo wa watu ni kutokea mfukoni mwenu.
 
Kama watoto wa magu hawa kuwa na heka heka kama hz za kina Abdul
Yani hizi heka heka ndo zinatakiwaa..! unaona kina rizi wapo bungeni usikae kichovuu...mwak 2025 unakuta vijana wa magu hakuna hata mmoja atagombea ubunge sasa unawasaidiaje hapo.
 
Subiri teuzi za viti maalimu maana namba yako tunayo.
 
Yani hizi heka heka ndo zinatakiwaa..! unaona kina rizi wapo bungeni usikae kichovuu...mwak 2025 unakuta vijana wa magu hakuna hata mmoja atagombea ubunge sasa unawasaidiaje hapo.
Uko real sna and clear hii comments yako nitaanzishia uzišŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…