Nadhani wewe ni wa kiume kwa mwonekano tuMama yenu haimpi usingizi wewe mbwa unabweka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani wewe ni wa kiume kwa mwonekano tuMama yenu haimpi usingizi wewe mbwa unabweka
CDM ni chama cha wachaggaACT ni chma cha wapemba.
Nondo ni nondo kweliAbdul Nondo ametangazwa kuwa mshindi wa nafasi ya Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana ya ACT Wazalendo Taifa kufuatia uchaguzi mkuu wa ngome hiyo uliofanyika jana, Alhamisi Februari 29, 2024 kwenye ukumbi wa Hakainde Hichilema uliopo makao makuu ya ACT Wazalendo (Maalim Seif House) Magomeni, Dar es Salaam.
Nondo aliyekuwa anatetea kiti hicho ameibuka kidedea baada ya kupata kura 66 sawa na asilimia 55.4 ya kura zote, akifuatiwa na Julius Masabo aliyepata kura 45 sawa na asilimia 37.8 ya kura zote, nafasi ya tatu ikienda kwa Mhandisi Ndolezi Petro aliyepata kura saba (7) sawa na asilimia 5.8 ya kura zote, huku Ruqayya Nassir akipata kura moja (1) sawa na asilimia 0.8 ya kura zote.
Katika uchaguzi huo idadi ya wapiga kura ilikuwa ni 120 ambapo kura halali zilikuwa ni 119 na kura moja (1) imeharibika.
Naunga mkono hojaKijana makini na smart na mwenye weledi Wa m hali ya Juu .
I wsh think tank Kama hawa wapate nafasi za juu serikalini.
Hivi Tumbili alipotelea wapi hasikiki kabisaAbdul Nondo ametangazwa kuwa mshindi wa nafasi ya Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana ya ACT Wazalendo Taifa kufuatia uchaguzi mkuu wa ngome hiyo uliofanyika jana, Alhamisi Februari 29, 2024 kwenye ukumbi wa Hakainde Hichilema uliopo makao makuu ya ACT Wazalendo (Maalim Seif House) Magomeni, Dar es Salaam.