Abdul Nondo alivyoshinda nafasi ya Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana ya ACT Wazalendo Taifa

Abdul Nondo alivyoshinda nafasi ya Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana ya ACT Wazalendo Taifa

Abdul Nondo ametangazwa kuwa mshindi wa nafasi ya Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana ya ACT Wazalendo Taifa kufuatia uchaguzi mkuu wa ngome hiyo uliofanyika jana, Alhamisi Februari 29, 2024 kwenye ukumbi wa Hakainde Hichilema uliopo makao makuu ya ACT Wazalendo (Maalim Seif House) Magomeni, Dar es Salaam.

Nondo aliyekuwa anatetea kiti hicho ameibuka kidedea baada ya kupata kura 66 sawa na asilimia 55.4 ya kura zote, akifuatiwa na Julius Masabo aliyepata kura 45 sawa na asilimia 37.8 ya kura zote, nafasi ya tatu ikienda kwa Mhandisi Ndolezi Petro aliyepata kura saba (7) sawa na asilimia 5.8 ya kura zote, huku Ruqayya Nassir akipata kura moja (1) sawa na asilimia 0.8 ya kura zote.

Katika uchaguzi huo idadi ya wapiga kura ilikuwa ni 120 ambapo kura halali zilikuwa ni 119 na kura moja (1) imeharibika.
Nondo ni nondo kweli

View: https://youtu.be/dtb2ut-bGdU?si=czXdBi6W6_UzBBNL
Hiki ni kifaa haswa.
P
 
Abdul Nondo ametangazwa kuwa mshindi wa nafasi ya Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana ya ACT Wazalendo Taifa kufuatia uchaguzi mkuu wa ngome hiyo uliofanyika jana, Alhamisi Februari 29, 2024 kwenye ukumbi wa Hakainde Hichilema uliopo makao makuu ya ACT Wazalendo (Maalim Seif House) Magomeni, Dar es Salaam.
Hivi Tumbili alipotelea wapi hasikiki kabisa
 
Back
Top Bottom