Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Hawa vijana waliowahi kujiteka wanamatatizo sana.
👇
👇
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu ni uthibitisho ACT sii mchezo!.Hawa vijana
👇View attachment 2398079
Ruzuku inakitumikia chama, si kuwatumikia matapeli.Huu ni uthibitisho ACT sii mchezo!.
P
Nccr Mageuzi wako Mjini kabisa kama CCMAbdul vipi wewe! Mbona hata TLP wana nyumba yao hapohapo Magomeni!
Jogoo houseHuu ni uthibitisho ACT sii mchezo!.
P
Mjini kati kelele nyingi, hapafai. Sehemu kama Kinondoni penye utulivu panafaa sana 😆😆Nccr Mageuzi wako Mjini kabisa kama CCM
Atakuwa alilipwa vizuri Kwenye ile Tamthiliya yake ya Mafinga ChangaraweAbdul Nondo ni moja ya vijana wwanaojitambua na wenye bahati
Katoka chuo 2018 now yupo na Ajira nzuri gari , nyumba ,ruzuku
Vijana wengine wapo wanawaza ngono simu zao namba za mademu tupu
Ukisikia ukweli mchungu kwa wale watafuna ruzuku, michango ya wabunge na mamilioni ya Sabodo ndio huu.Hawa vijana waliowahi kujiteka wanamatatizo sana.
👇View attachment 2398079
Huko alipo Sabodo anatamani yale mamilioni angewapa hawa wenye uthubutu wa kutenda, na sio kuongea ongea tu kama wale wenzao.Huu ni uthibitisho ACT sii mchezo!.
P
Tawi la CCM!Hawa vijana waliowahi kujiteka wanamatatizo sana.
👇View attachment 2398079
Nondo, ni lenu au mmelease?Hawa vijana waliowahi kujiteka wanamatatizo sana.
👇View attachment 2398079
Akili yako sawa na alie kuwa waziri wa mambo ya ndani wakati huo. MatopeHawa vijana waliowahi kujiteka wanamatatizo sana.
[emoji116]View attachment 2398079