Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimecheka aiseeTLP,CUF NA NCCR wote wana mijengo ya ghorofa.lakini bado kwa ujumla wao hawafikishi hata wanachama laki tano nchi nzima, ngoja tuone nyie watawala wa Zanzibar mtafanya nin.
CHADEMA hawana ghorofa lakini wana vitu vifuatavyo.
1. Gari aina za ford ranger karibia kila wilaya
2 Mashine za kuandikisha wanachama nchi nzima
3. Viongozi nchi nzima
4 Vifaa vya uenezi I.e bendera,mavazi,katiba,vitabu vya sera n.k nchi nzima
5. Wanachama wasiopungua milioni nane nchi nzima
6. Misingi na uongozi karibia kila kata nchi nzima
7 .Ofisi kubwa za kanda,mikoa na wilaya zilizojengwa na wanachama nchi nzima
8. Wametoa elimu ya kiraia tangu mwaka 2008 kila wilaya nchi nzima
9 Na bado 2020 walimkimbiza JIWE mpaka akaona isiwe tabu bora afe.
NYINYI ACT MMEFANYIA NINI NCHI HII?
Huyu jamaa balaa. Alijiteka na kupoteaAtakuwa alilipwa vizuri Kwenye ile Tamthiliya yake ya Mafinga Changarawe
Kwani kupanga ni Ajabu?Serikali tu INAPANGAHawa vijana waliowahi kujiteka wanamatatizo sana.
[emoji116]View attachment 2398079
Huu sio mfano haiKwani kupanga ni Ajabu?Serikali tu INAPANGA
Kweli sasa nimeamini kila mtu ana "NDOTO" zake.. loh! haya mie naaapita....Hawa vijana waliowahi kujiteka wanamatatizo sana.
👇View attachment 2398079