Abdul Nondo: Tutaanza kufanyia kazi nyumbani, siyo kwenye jengo la kupanga

Hawa vijana waliowahi kujiteka wanamatatizo sana.
πŸ‘‡View attachment 2398079
Ukisikia ukweli mchungu kwa wale watafuna ruzuku, michango ya wabunge na mamilioni ya Sabodo ndio huu.

Laiti nia na malengo ya yale mamilioni ya Sabodo yangefanyiwa kazi iliyokusudiwa ya kujenga makao makuu ya chama kikuu cha upinzani, basi aibu hii leo isingekuwepo kwa wenzetu.
 

Attachments

  • Screenshot_20220912-125326.jpg
    62.8 KB · Views: 5
kweli wazungu wanajua kucheza na siasa za kiafrica na demokrasia ikaonekana!

sawa, kila la heri!
 
TLP,CUF NA NCCR wote wana mijengo ya ghorofa.lakini bado kwa ujumla wao hawafikishi hata wanachama laki tano nchi nzima, ngoja tuone nyie watawala wa Zanzibar mtafanya nin.
CHADEMA hawana ghorofa lakini wana vitu vifuatavyo.
1. Gari aina za ford ranger karibia kila wilaya
2 Mashine za kuandikisha wanachama nchi nzima
3. Viongozi nchi nzima
4 Vifaa vya uenezi I.e bendera,mavazi,katiba,vitabu vya sera n.k nchi nzima
5. Wanachama wasiopungua milioni nane nchi nzima
6. Misingi na uongozi karibia kila kata nchi nzima
7 .Ofisi kubwa za kanda,mikoa na wilaya zilizojengwa na wanachama nchi nzima
8. Wametoa elimu ya kiraia tangu mwaka 2008 kila wilaya nchi nzima
9 Na bado 2020 walimkimbiza JIWE mpaka akaona isiwe tabu bora afe.
NYINYI ACT MMEFANYIA NINI NCHI HII?
 
Hili jengo kuna siku "watagawana mbao", take my words!
jengo hili wale Cuf Maalim Seif wanajua ni lao, hawa ACT wazalendo wao wamejichomeka hapo! mtakuja kuniambia one day!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…