Exy
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 3,146
- 5,520
Aliyepaswa kutoa uwazi ni Mbowe kwa chama na umma!, Hajafanya hivyo na ilibaki kuwa Siri take Kwanini?. Ni lini chadema wamesema wameanza kupokea ruzuku kwa serikali toka kauli y mwanzo...mambo ambayo Ccm wameyakataa ktk maridhiano ni yapi?
..kwanini hakuna uwazi ktk jambo hili?